. Mmmmmmmmmmmmmmh natamani nione hayo unayo MP maana mimi mwenyewe yalinikuta nilisamehe ila kila nikikumbuka hata kuhangaika kumpikia,viherehere vyote vimeniisha hata akiomba maji ya kunywa au juice namtuma mtoto ingawa zamani nilikuwa nafanya mwenyewe, wanaume ningekupewa uwezo na Mungu wa kuwaadabisha japo dk 10 wange............... wanaendekeza sana ngono.sasa kwanini umehama chumba, nakushauri kitu kigumu sana, narudia kitu kigumu maana najua kama huna moyo wa Ujasiri hutaweza, nasema hivi, RUDI CHUMBANI KWAKO, MPENDE MUMEO, MPE CHAKULA CHAKE MLE WOTE maana kwa kufanya hivyo utamuumiza sana yeye, atajiona mjinga, atajutia japo hata seamu ya ma kwa sauti ila vitendo vitadhihirisha. <br><br>Kwa kutengana nae ndio umempa sababu ya kuendeleza ujinga wake, una risk maisha yake na ya kwako pia, nielewe Mama ni ngumu lakini badala ya kumchukia wewe jitahidi kumpenda, muulize tatizo ni nini, inaweza kukusaidia ila kumbuka wanadamu ni WAFARIJI WATAABISHAJI, nitaku=PM tushauriane vizuri
. Mmmmmmmmmmmmmmh natamani nione hayo unayo MP maana mimi mwenyewe yalinikuta nilisamehe ila kila nikikumbuka hata kuhangaika kumpikia,viherehere vyote vimeniisha hata akiomba maji ya kunywa au juice namtuma mtoto ingawa zamani nilikuwa nafanya mwenyewe, wanaume ningekupewa uwezo na Mungu wa kuwaadabisha japo dk 10 wange............... wanaendekeza sana ngono.
Ndoa zina mambo, mi naiogopa sana....
Pole sana!
Jamani nilimpenda sana mume wangu, niliijali familia yangu,nilijitahidi kufanya majukumu yangu kama mke na mama kwa furaha kwa ajili ya familia yangu, naheshimu ndoa yangu, niliwachukia watu waliokua walioniletea umbea kuwa mume wangu hajatulia,maana kila nikimuuliza alinijibu ukisikiliza ya watu utaharibu nyumba yetu.nikachagua kumuamini mume badala ya watu,mwezi wa sita tulienda kwao na mume wangu, nikaambiwa na wadogo zake mumeo mezaa watoto wawili na wanawake wengine na sasa hivi anamwanamke mwingine anamsomesha chuo.
Kwakuwa tulienda kule sababu ya matizo mengine sikupenda kuanzisha ya kwangu nikasubiri tumerudi kwetu nikaamuuliza akajibu nikweli na sikutaka kukwambia kwa sababu ya kulinda uhusiano wetu na familia yetu. Nimeumia sana namuona ndo adui yangu namba moja hapa duniani, niliamua tu kuhama chumba,nikamwambia mimi sitahusiana nae tena ila nyumba sihami maana tumejenga wote na ninawatoto watatu na mchango wangu ni mkubwa sana mpaka leo nakatwa mshahara wangu nilikopa banki kujenga hii nyumba.
Kweli sinampango wa kuhusiana nae kimapenzi tena maana huu mwezi wa sita sasa lakini kila ninapomuona hasira inaongezeka. natamani ahamie kabisa kwa hao wanawake zake nahisi namchukia sana. naomba msaada nifanyeje ili huyu mwanaume ahamie kabisa huko kwa wanawake zake,nibaki kwa amani na machungu yangu na watoto. (hii habari nimeambiwa na rafiki yangu kaniomba ushauri msaidieni jamani afanyeje ameumizwa sana.
. Mmmmmmmmmmmmmmh natamani nione hayo unayo MP maana mimi mwenyewe yalinikuta nilisamehe ila kila nikikumbuka hata kuhangaika kumpikia,viherehere vyote vimeniisha hata akiomba maji ya kunywa au juice namtuma mtoto ingawa zamani nilikuwa nafanya mwenyewe, wanaume ningekupewa uwezo na Mungu wa kuwaadabisha japo dk 10 wange............... wanaendekeza sana ngono.
loh leo niko kwenye mafungo sina la kusema....natafuta upako mwenzio..
Jamani nilimpenda sana mume wangu, niliijali familia yangu,nilijitahidi kufanya majukumu yangu kama mke na mama kwa furaha kwa ajili ya familia yangu, naheshimu ndoa yangu, niliwachukia watu waliokua walioniletea umbea kuwa mume wangu hajatulia,maana kila nikimuuliza alinijibu ukisikiliza ya watu utaharibu nyumba yetu.nikachagua kumuamini mume badala ya watu,mwezi wa sita tulienda kwao na mume wangu, nikaambiwa na wadogo zake mumeo mezaa watoto wawili na wanawake wengine na sasa hivi anamwanamke mwingine anamsomesha chuo.
Kwakuwa tulienda kule sababu ya matizo mengine sikupenda kuanzisha ya kwangu nikasubiri tumerudi kwetu nikaamuuliza akajibu nikweli na sikutaka kukwambia kwa sababu ya kulinda uhusiano wetu na familia yetu. Nimeumia sana namuona ndo adui yangu namba moja hapa duniani, niliamua tu kuhama chumba,nikamwambia mimi sitahusiana nae tena ila nyumba sihami maana tumejenga wote na ninawatoto watatu na mchango wangu ni mkubwa sana mpaka leo nakatwa mshahara wangu nilikopa banki kujenga hii nyumba.
Kweli sinampango wa kuhusiana nae kimapenzi tena maana huu mwezi wa sita sasa lakini kila ninapomuona hasira inaongezeka. natamani ahamie kabisa kwa hao wanawake zake nahisi namchukia sana. naomba msaada nifanyeje ili huyu mwanaume ahamie kabisa huko kwa wanawake zake,nibaki kwa amani na machungu yangu na watoto. (hii habari nimeambiwa na rafiki yangu kaniomba ushauri msaidieni jamani afanyeje ameumizwa sana.
MAFUNGO YAPI SWAIBA, AU UMEBUNI YA KWAKO? MM KM NI NI MAFUNGO YALE AYA FUTALI NJEMa
Bush Lawyer.mnaosema amsamehe...magonjwa jamani...huyo mwanaume ni malaya tu excuse my language....
mie nakushauri omba talaka yako,mgawane mali mlizochuma pamoja,mahakamani atapewa kiasi chake cha kugharamia watoto kwa kuwa una kazi sioni kwa nini maisha yakushinde,hayo maisha ya kupretend utakufa kwa kihoro bure na siku akileta mtoto wa tatu je????????mnh its not healthy
African men full of drama. Mmmmmmmmmmmmmmh natamani nione hayo unayo MP maana mimi mwenyewe yalinikuta nilisamehe ila kila nikikumbuka hata kuhangaika kumpikia,viherehere vyote vimeniisha hata akiomba maji ya kunywa au juice namtuma mtoto ingawa zamani nilikuwa nafanya mwenyewe, wanaume ningekupewa uwezo na Mungu wa kuwaadabisha japo dk 10 wange............... wanaendekeza sana ngono.
Bush Lawyer.
ndoa ya kanisa ina talaka??