GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,902
- 10,503
=badilika.usipo badirika basi wana kupiga ban maisha yani namba yako haita weza kutumika WhatsApp teeena labda uibadiri
=badilika.usipo badirika basi wana kupiga ban maisha yani namba yako haita weza kutumika WhatsApp teeena labda uibadiri
Ukitaka usipigwe ban pale kwenye setting za backup weka NEVER.
Usijidanganye kuweka email yoyote, ukiweka email tuu unakula ban chapchap.
Hili la email unaweza kuwa sahihi maana Mimi nilihamia iPhone nikawa natumia official lakini walinipiga ban nikagundua tatizo ni email,maana hiyo email nilikuwa naitumia pia kwenye android kwenye GB kwa namba nyingineUkitaka usipigwe ban pale kwenye setting za backup weka NEVER.
Usijidanganye kuweka email yoyote, ukiweka email tuu unakula ban chapchap.
Yap.Hili la email unaweza kuwa sahihi maana Mimi nilihamia iPhone nikawa natumia official lakini walinipiga ban nikagundua tatizo ni email,maana hiyo email nilikuwa naitumia pia kwenye android kwenye GB kwa namba nyingine
Ninaisubiri hiyo Ban, nitaleta ushuhuda.Na mimi nimekula ban asubuhi.
Developer alie fanikiwa kwa ishu ya ANTI BAN ni Gbwhatsapp plus. Ila sasa hii nayo features nyingi haina.
Wapi zamani?Kumbe issue ya Ban ni serious ?
Police Vs Policy
Punguza jaziba!!
Nimefata maelekezo ngoja tuone Kama watanila kichwa tena shwahin hawaAsante sana yousef al basha
Yowhatsapp itabaki kuwa juuView attachment 1127996
Na ikikuletea option ya kufanya backup na google drive kataa weka NEVER afu kama una ban subiri hadi iishe au tumia namba nyengineNimefata maelekezo ngoja tuone Kama watanila kichwa tena shwahin hawa
Naomba link ya hiyo gbwhatsapp plus plzNa mimi nimekula ban asubuhi.
Developer alie fanikiwa kwa ishu ya ANTI BAN ni Gbwhatsapp plus. Ila sasa hii nayo features nyingi haina.
Wanataka unipe namba yako ndio wakuachie uende zako.Habar wana jf,
GB whatspp yangu nikitaka kuingia inaniambia nimepigwa Banned, sijui ni kwann eti Kwa wanaojua,
umeandika nini, gongo ikikutoka kichwani andika kinachoelewekaWanataka unipe namba yako ndio wakuachie uende zako.