Haina ban mkuu?Nipo na whatsap aero features ni kama za gb WhatsApp
Siku ya 5 leo
Pakua Yowhatsapp hapa
Yousef Al Basha (@YoBasha) | Twitter
Les tout derniers Tweets de Yousef Al Basha (@YoBasha). اتّق شرّ من أحسنت إليهyousefalbasha.com
Unapakua wap mbn cielew hapa
Alikuwa mwizi tuduhh itakuwa walimtishia kumfanyia umafia nn..
kitu nachukia yowhatsp ni kwamba aina dnd mode hicho tuMimi nilkuwa na gb na original whatsapp nikapigwa ban.Nikafuta zote.Nika install whatsapp x inafanana sana na original whatsapp nikaona haifai nikaifuta nikachukua yowhatsapp napeta nayo sasa zaidi ya mwezi ni nzuri Sana ila gb ni nzuri kuliko zote.
Hii ndo ikoje mkuuNipo na whatsap aero features ni kama za gb WhatsApp
Siku ya 5 leo
wameshaweka sahv bro....wanaita flight mode...nataka niinstall hii yowhatsapp...kitu nachukia yowhatsp ni kwamba aina dnd mode hicho tu
Kama ilivyokuwa gb watsapHii ndo ikoje mkuu
Sijapata ban tangu nianze kuitumiaHaina ban mkuu?
asante mkuu ngoja tuhamishie majeshi huku.Kama ilivyokuwa gb watsap
Inapatikana google ama vipi?Nipo na whatsap aero features ni kama za gb WhatsApp
Siku ya 5 leo
Sijapata ban tangu nianze kuitumia