Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,729
- 3,829
Sasa kaka, wanaofanya ivyo ni whatsapp original au GB whatsapp??? Maana akaunt yangu imepigwa Ban ya masaa kumi na whatspp GB, inamaana whatspp original wana mamlaka gani na namba yangu had wajee kuipiga Ban huku kwenye App ambayo haiwahusu japo mnasema ni fekiYaani ni kwamba, WhatsApp original wamefanya yao.
Kama hujaelewa ni kwamba, GB WhatsApp wanakiuka hati miliki ya WhatsApp, kwa hiyo, WhatsApp wameamua kupambana kuhakikisha ninyi mnaoiba na kukiuka copyright yao unapewa kibano haswa.
Yaani ni hiviii, namba yako hiyo huwezi tena kuitumia kutuma au kudownload WhatsApp unless and until unabadilisha.
Pole!
........................................
Update
Watumiaji wa WhhatsApp GB,FM sjui na unofficial WhatsApp zote msije mkasema hamku ambiwa ....mana mnaona raha wengine Mna hide viewing status vibility status hamuombi mna download tuu chap basi mnajiona wataalam
point ya msingi kufanya hvyo ni kinyume na policy za WhatsApp
...ni hivi kuzitumia hizo WhatsApp feki ni against privacy and police za WhatsApp,,,hizo WhatsApp feki zina mambo mengi sana ambayo kwenye WhatsApp ya kawaida hamna na hizo ndio privacy ,,,,,
kam kudownload status ,copy caption kwenye pics ,,freezing least seen ,auto reply yani kuna vikolo kolo viingi ambavyo WhatsApp official sio kwamba walishindwa kuviweka no . .ni police na ni sheri za chating platform yoyotee
Usidhani walikua hawajui kama izo WhatsApp feki zipo ,,wanajua Sana'a ila walikua wanawazoom
Sana naona wamekuja na plan kuzitokemeza watumiaji wa hizo WhatsApp feki wanakula ban tuu skuiz
wanaanza na masaa ukiwa mbishi wana haamia siku usipo badirika basi wana kupiga ban maisha yani namba yako haita weza kutumika WhatsApp teeena labda uibadiri ...
Niwape tuu angalizo sijui mna zipendea nni hizo WhatsApp feki ila zitawacost...