Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,630
inaniletea hvyo follow link ngoja nijaribu tenaa.May be unatumia link sio. Ikihitaji update inakuambia, follow hiyo link itayokuletea
nilitaka kujua pia bado Whatsapp gb ina run uki update?
inaniletea hvyo follow link ngoja nijaribu tenaa.May be unatumia link sio. Ikihitaji update inakuambia, follow hiyo link itayokuletea
Yes itafanya. Nimeupdate juziinaniletea hvyo follow link ngoja nijaribu tenaa.
nilitaka kujua pia bado Whatsapp gb ina run uki update?
basi ngoja nisubir iwe finish kwenye kuexpire maana inadai bado siku mbili i expiredYes itafanya. Nimeupdate juzi
Kazi ya Magufuli yaani mzee ana shida sana.Dah...itakuwa mafisiem hao
Sent using Beretta ARX 160
Dah....yaani...we acha tu....katifuatifua nchi nzima...mitope imejaa...hata sehemu ya kukanyaga hakuna...kisa kujenga barabara...huyu Mzee ni shida aiseeKazi ya Magufuli yaani mzee ana shida sana.
Mm. Nmeifuta kwa kuogopaNatumia Gb whatsapp toka jana nimeambiwa ni update lakin kila nikidownload inagoma,au ndio nami zamu yangu imetimia nirud official?
Watumiaji wa WhhatsApp GB,FM sjui na unofficial WhatsApp zote msije mkasema hamku ambiwa ....mana mnaona raha wengine Mna hide viewing status vibility status hamuombi mna download tuu chap basi mnajiona wataalam
point ya msingi kufanya hvyo ni kinyume na police za WhatsApp
...ni hivi kuzitumia hizo WhatsApp feki ni against privacy and police za WhatsApp,,,hizo WhatsApp feki zina mambo mengi sana ambayo kwenye WhatsApp ya kawaida hamna na hizo ndio privacy ,,,,,
kam kudownload status ,copy caption kwenye pics ,,freezing least seen ,auto reply yani kuna vikolo kolo viingi ambavyo WhatsApp official sio kwamba walishindwa kuviweka no . .ni police na ni sheri za chating platform yoyotee
Usidhani walikua hawajui kama izo WhatsApp feki zipo ,,wanajua Sana'a ila walikua wanawazoom
Sana naona wamekuja na plan kuzitokemeza watumiaji wa hizo WhatsApp feki wanakula ban tuu skuiz
wanaanza na masaa ukiwa mbishi wana haamia siku usipo badirika basi wana kupiga ban maisha yani namba yako haita weza kutumika WhatsApp teeena labda uibadiri ...
Niwape tuu angalizo sijui mna zipendea nni hizo WhatsApp feki ila zitawacost...
Kuna siku nimepigwa ban ya dk 20..zikaisha nikapigwa ban tena, naamka asubuhi ban ikaendelea nikaona isiwe kesi.. Nikaitupilia mbali hiyo gbwhatsappWatumiaji wa WhhatsApp GB,FM sjui na unofficial WhatsApp zote msije mkasema hamku ambiwa ....mana mnaona raha wengine Mna hide viewing status vibility status hamuombi mna download tuu chap basi mnajiona wataalam
point ya msingi kufanya hvyo ni kinyume na police za WhatsApp
...ni hivi kuzitumia hizo WhatsApp feki ni against privacy and police za WhatsApp,,,hizo WhatsApp feki zina mambo mengi sana ambayo kwenye WhatsApp ya kawaida hamna na hizo ndio privacy ,,,,,
kam kudownload status ,copy caption kwenye pics ,,freezing least seen ,auto reply yani kuna vikolo kolo viingi ambavyo WhatsApp official sio kwamba walishindwa kuviweka no . .ni police na ni sheri za chating platform yoyotee
Usidhani walikua hawajui kama izo WhatsApp feki zipo ,,wanajua Sana'a ila walikua wanawazoom
Sana naona wamekuja na plan kuzitokemeza watumiaji wa hizo WhatsApp feki wanakula ban tuu skuiz
wanaanza na masaa ukiwa mbishi wana haamia siku usipo badirika basi wana kupiga ban maisha yani namba yako haita weza kutumika WhatsApp teeena labda uibadiri ...
Niwape tuu angalizo sijui mna zipendea nni hizo WhatsApp feki ila zitawacost...
unaumia utafikiri wewe ndio mwenye whatsapp
😂 😂 😂 😂 😂Mbona kama wewe ndo unaumia zaidi kuliko sie watumiaji? Au mkeo ka hide status zake usione nini?