Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,756
- 1,733
Kama unafahamu kuna jipu lolote wapelekee hao wawasiliane na mtumbuaji majipu
Bora niliwasilishe mwenyewe kwa mtumbuaji
Kama unafahamu kuna jipu lolote wapelekee hao wawasiliane na mtumbuaji majipu
Kama unafahamu kuna jipu lolote wapelekee hao wawasiliane na mtumbuaji majipu
Ancha kuwadanganya watu wengi eso wameshastaafu miaka 2 iliyopita Na wengine wako kwingine
kwa kutumia namba hizo huwapati wakwepa kodi...
Kama amekufa sawa....kama mzima atafanya mambo popot pale alipo.. Udipoteshe watu. Mtumishi ni mtimishi tuHii orodha ni ya Mwaka gani,maana huyo SACP Matei aliekuwa RPC Pwani alihamishiwa Makao Makuu.