nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,244
- 7,723
Naomba mwongozo wa namna ya kuandika barua ya kuomba namba yangu ya NIDA kufunguliwa ambayo nitamtumia ndugu yangu atayeiwasilisha ofisi za NIDA ambako nilijiandikishia ili waweze kuunblock namba yangu pamoja na kumpatia kitambulisho.
Sababu za kufungiwa nimeambiwa ni kutokuchukua kitambulisho kwa muda mrefu.
Sababu za kutokuchukua nilihama mkoa kabla hawajatoa kitambulisho
Sababu za kufungiwa nimeambiwa ni kutokuchukua kitambulisho kwa muda mrefu.
Sababu za kutokuchukua nilihama mkoa kabla hawajatoa kitambulisho