Naomba nieleweshwe kwa nini kitufe chenye namba tano kwenye keypad za simu kina nukta au alama tofauti na namba nyingine?
Hebu angalia simu yako
dah mi mwenyewe huwa najiuliza lkn cpati jbu!ebu 2subiri...
Mark of the beast.
Ukijumlisha mstari wa kwanza wa keypad za simu yako yaani
1+2+3=6.
Then ukijumlisha mstari wa pili pia utapata 6.
4+5+6=15=1+5=6
ukijumlisha mstari wa mwisho pia utapata 6.
7+8+9=24=2+4=6.
Kiji alama kwenye namba tano ni ukamilisho wa namba 666 ambayo ni namba ya Shetani.
Kumbuka tano ndiyo namba ya katikati kwenye simu yako.
Vp usha pata jibu sasa?
Mark of the beast.
Ukijumlisha mstari wa kwanza wa keypad za simu yako yaani
1+2+3=6.
Then ukijumlisha mstari wa pili pia utapata 6.
4+5+6=15=1+5=6
ukijumlisha mstari wa mwisho pia utapata 6.
7+8+9=24=2+4=6.
Kiji alama kwenye namba tano ni ukamilisho wa namba 666 ambayo ni namba ya Shetani.
Kumbuka tano ndiyo namba ya katikati kwenye simu yako.
Mark of the beast.
Ukijumlisha mstari wa kwanza wa keypad za simu yako yaani
1+2+3=6.
Then ukijumlisha mstari wa pili pia utapata 6.
4+5+6=15=1+5=6
ukijumlisha mstari wa mwisho pia utapata 6.
7+8+9=24=2+4=6.
Kiji alama kwenye namba tano ni ukamilisho wa namba 666 ambayo ni namba ya Shetani.
Kumbuka tano ndiyo namba ya katikati kwenye simu yako.
Hapa inahitajika elimu zaidi. Hatujakuelewa mkuu
Naingia kichwa kichwa na míguu miwili ktk hiliMark of the beast.
Ukijumlisha mstari wa kwanza wa keypad za simu yako yaani
1+2+3=6.
Then ukijumlisha mstari wa pili pia utapata 6.
4+5+6=15=1+5=6
ukijumlisha mstari wa mwisho pia utapata 6.
7+8+9=24=2+4=6.
Kiji alama kwenye namba tano ni ukamilisho wa namba 666 ambayo ni namba ya Shetani.
Kumbuka tano ndiyo namba ya katikati kwenye simu yako.
Mark of the beast.
Ukijumlisha mstari wa kwanza wa keypad za simu yako yaani
1+2+3=6.
Then ukijumlisha mstari wa pili pia utapata 6.
4+5+6=15=1+5=6
ukijumlisha mstari wa mwisho pia utapata 6.
7+8+9=24=2+4=6.
Kiji alama kwenye namba tano ni ukamilisho wa namba 666 ambayo ni namba ya Shetani.
Kumbuka tano ndiyo namba ya katikati kwenye simu yako.
Hahahaha hii obsession ya 666 duh. Yaani unalazimisha hesabu ivo ivo ilimradi 666 ikubali. Hahahahaha
unajiaibisha!!
15=1+5=?!!
24= 2+4=?!!
Acheni zenu nyie hiyo ni home key. kwenye computer angalia keyboard yako key "F" and key "J" nazo zina kijitufe kwa lengo hilohilo meant that index fingers rest there na ukiwa expert wa typing unaweza type bila kutazama keyboard yako so unafeel hivyo vitufe kutumia index fingers na unaweza kutype any word. so kwa wenye keyboard yenye extension ya number key kuna key number "5" ambayo ina kijitufe kwamba second finger ina rest pale index finger inarest kwenye number 4 na ring finger ina rest kwenye namba 6 pia little finger ina rest kwenye Enter key. chunguza keyboard yenye extension ya number key utaona hiyo ila ni laptop chache zenye extensio ya number key.
dah ningewagongea thanx wote ila ndo hvo.....nlikua cna idea kabisa!
Acheni zenu nyie hiyo ni home key. kwenye computer angalia keyboard yako key "F" and key "J" nazo zina kijitufe kwa lengo hilohilo meant that index fingers rest there na ukiwa expert wa typing unaweza type bila kutazama keyboard yako so unafeel hivyo vitufe kutumia index fingers na unaweza kutype any word. so kwa wenye keyboard yenye extension ya number key kuna key number "5" ambayo ina kijitufe kwamba second finger ina rest pale index finger inarest kwenye number 4 na ring finger ina rest kwenye namba 6 pia little finger ina rest kwenye Enter key. chunguza keyboard yenye extension ya number key utaona hiyo ila ni laptop chache zenye extensio ya number key.