Namba tano kwenye keypad za simu.

Namba tano kwenye keypad za simu.

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
77,972
Reaction score
165,427
Naomba nieleweshwe kwa nini kitufe chenye namba tano kwenye keypad za simu kina nukta au alama tofauti na namba nyingine?
Hebu angalia simu yako
 
dah mi mwenyewe huwa najiuliza lkn cpati jbu!ebu 2subiri...
 
dots ni kwa ajili ya wenzetu wasioona. Zinawawezesha kujua wapo usawa gani ktk kibodi.
 
For Blind People.wakiigusa hiyo no 5 then wanaweza kuitambua keypad nzima ya simu na kuweza kupiga simu yeyote bila tatizo
 
dah ningewagongea thanx wote ila ndo hvo.....nlikua cna idea kabisa!
 
Mark of the beast.
Ukijumlisha mstari wa kwanza wa keypad za simu yako yaani
1+2+3=6.
Then ukijumlisha mstari wa pili pia utapata 6.
4+5+6=15=1+5=6
ukijumlisha mstari wa mwisho pia utapata 6.
7+8+9=24=2+4=6.
Kiji alama kwenye namba tano ni ukamilisho wa namba 666 ambayo ni namba ya Shetani.
Kumbuka tano ndiyo namba ya katikati kwenye simu yako.
 
Naomba nieleweshwe kwa nini kitufe chenye namba tano kwenye keypad za simu kina nukta au alama tofauti na namba nyingine?<br />
Hebu angalia simu yako
Unadhani zote kama yako??mimi kwangu mbona sioni??mimi natumia iTouch inakuwaje kwa mambo ya touch??Ila nachojua ktk simu namba 5 ni kiunganishi kama "enter"unawezakutumia nokuingia katika menu!au katika games hutu mika no 2-6-8-4(5)kama comand key!
 
simu yangu ni full screen touch,ila nadhani ni kwa ajili ya kuwasaidia wasiiona.Au ni vile tano ni namba ya katikati.
 
Mark of the beast.
Ukijumlisha mstari wa kwanza wa keypad za simu yako yaani
1+2+3=6.
Then ukijumlisha mstari wa pili pia utapata 6.
4+5+6=15=1+5=6
ukijumlisha mstari wa mwisho pia utapata 6.
7+8+9=24=2+4=6.
Kiji alama kwenye namba tano ni ukamilisho wa namba 666 ambayo ni namba ya Shetani.
Kumbuka tano ndiyo namba ya katikati kwenye simu yako.
crap crap - by rev masa
 
Mark of the beast.
Ukijumlisha mstari wa kwanza wa keypad za simu yako yaani
1+2+3=6.
Then ukijumlisha mstari wa pili pia utapata 6.
4+5+6=15=1+5=6
ukijumlisha mstari wa mwisho pia utapata 6.
7+8+9=24=2+4=6.
Kiji alama kwenye namba tano ni ukamilisho wa namba 666 ambayo ni namba ya Shetani.
Kumbuka tano ndiyo namba ya katikati kwenye simu yako.

Wewe ni wa Shetani? Maana BB na Nokia N/E series mpangilio wake mbona tofaut?
 
Mark of the beast.
Ukijumlisha mstari wa kwanza wa keypad za simu yako yaani
1+2+3=6.
Then ukijumlisha mstari wa pili pia utapata 6.
4+5+6=15=1+5=6
ukijumlisha mstari wa mwisho pia utapata 6.
7+8+9=24=2+4=6.
Kiji alama kwenye namba tano ni ukamilisho wa namba 666 ambayo ni namba ya Shetani.
Kumbuka tano ndiyo namba ya katikati kwenye simu yako.

Akili zote ukijumlisha = 0
 
mark of the beast.
Ukijumlisha mstari wa kwanza wa keypad za simu yako yaani
1+2+3=6.
Then ukijumlisha mstari wa pili pia utapata 6.
4+5+6=15=1+5=6
ukijumlisha mstari wa mwisho pia utapata 6.
7+8+9=24=2+4=6.
Kiji alama kwenye namba tano ni ukamilisho wa namba 666 ambayo ni namba ya shetani.
Kumbuka tano ndiyo namba ya katikati kwenye simu yako.

are you sure??
 
Back
Top Bottom