MR.NOMA
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 339
- 511
kuna ndugu yangu anaishi kijijini, kapigiwa simu na namba inayo anza na 0901 sasa aliogopa kupokea,na imekuwa ikimpigia mara kwa mara,alipo wauliza watu wakamwabia asipokee hao ni freemason,akipokea tu atapata matatizo. tunaomba ufafanuzi kwa anayeijua namba hii ni kodi ya nchi gan?