DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,472
Sikatai. Chama ni zaidi ya Ahoua ila Simba mpya ilibidi ijengwe na sipendekezi kurudi nyuma maana itaendelea kupata shida kufunga ukurasa wake. Ni kama ilivyochukua muda kupata ujasiri wa kumuacha Zimbwe, bila kumuacha ingeendelea kusajili wachezaji mbadala na kusingizia hawatoshi kumbe zimwi la uwepo wake linafunika fursa ya kupata wachezaji wapya.Kwa uwezo wa wachezaji waliopo Simba kwa sasa na ukamuongeza mchezaji kama CHAMA anaweza kukupa kitu cha ziada chenye thamani zaidi kwenye mechi.
Sahihi kabisaMakocha wanapitia mambo mengi amabayo wakiyasema unaweza ukashangaa. (Hasa hawa wanaofundisha Simba & Yanga za Tanzania)
Simba wanatakiwa kusajili wacheza wa viwango vya juu sio akina BajaberSikatai. Chama ni zaidi ya Ahoua ila Simba mpya ilibidi ijengwe na sipendekezi kurudi nyuma maana itaendelea kupata shida kufunga ukurasa wake. Ni kama ilivyochukua muda kupata ujasiri wa kumuacha Zimbwe, bila kumuacha ingeendelea kusajili wachezaji mbadala na kusingizia hawatoshi kumbe zimwi la uwepo wake linafunika fursa ya kupata wachezaji wapya.
Ni tatizo hilo hilo lipo timu ya taifa. Mbona wenzetu wanaibua wachezaji wapya kila siku na ndiyo hao hao tunawakimbilia na kuwasifia, kwa nini na sisi tusipate ujasiri huo?
Huyo Bajaber walimchomoa asicheze CHAN maana waliogopa angecheza watu wangemkataa. Uhuni mwingi.Simba wanatakiwa kusajili wacheza wa viwango vya juu sio akina Bajaber
Labda sijaeleweka. Hivi kwa kutumia akili tu ya kawaida Mutale ni wa kubaki Simba kweli? Akisema x-factor kwa uwiano wa zaidi ya Mutale yuko sahihi. Maema na Mutale wote wanacheza aina fulani ya pasi fupi kufungua timu na Maema ana uwezo wa pasi ndefu pia. Kuwaweka wote wawili ni upuuzi. Ni bora atafutwe mtu mwenye calibre kubwa zaidi kumtoa Mutale hapo. Mutale hapana kwakweli kubaki Simba. Hapana.Kwa sababu hiyo uliyotaja basi tusiseme yeye ndiyo amewaleta hao kina Maema na Mlingo maana hajawahi kutamka kuwataka.
Mwisho wa siku akitaja vigezo akaletewa hao alioletewa, anaweza kuwaambia viongozi kutoridhishwa nao ila nje ya hapo akaamua kukaa kimya na kusonga nao mbele hata kama hajawakubali. Ile ni ajira, hawezi kila siku kukataa wachezaji, ataonekana hajitambui.
Yule bonge la dude, mgunda ndio aliye jua kumtumia.SDaah yaani issue ya Phiri ndiyo nikaikatia tamaa kabisa Simba.
Nilimkataa Mutale toka msimu uliopita na niliwahi kushauri aachwe dirisha dogo ila nikashangaa akabaki.Labda sijaeleweka. Hivi kwa kutumia akili tu ya kawaida Mutale ni wa kubaki Simba kweli? Akisema x-factor kwa uwiano wa zaidi ya Mutale yuko sahihi. Maema na Mutale wote wanacheza aina fulani ya pasi fupi kufungua timu na Maema ana uwezo wa pasi ndefu pia. Kuwaweka wote wawili ni upuuzi. Ni bora atafutwe mtu mwenye calibre kubwa zaidi kumtoa Mutale hapo. Mutale hapana kwakweli kubaki Simba. Hapana.
Hivi Chama anamzidi Maema?Hichilema mkuu nakumbuka nilikuambia kua sajili za hao watu ni mbovu..ona watu wa football wanasema hapa...mutale, maema, morice, bajaber, Hawa wote hawana maana wangeuzwa anunuliwe mtu angalau anaefanana na brilliance ya chama...kwenye football Saivi hauitaji kukimbia ovyo ovyo unaitaji brilliance...
Phiri moses!?Phiri ange tufaa sana
Mmoja wa wachezaji bora sana ambao Simba imewapata miaka ya hivi karibuniPhiri moses!?
Bonge moja la player, ndio hivyo tena kazi na umri.
Anaweza kucheza kama CF, kisha anacheza kama Ss, anazima kaka attacking midfielder, anaweza kicheza kama winger.. wachezaji wa vile nawapenda sana.. halafu ni miguu yote.
Yap. Mpaka ana ondoka alikuwa top scorer kwenye team yetu, ila ali sugulishwa bench kisa majungu.Phiri moses!?
Bonge moja la player, ndio hivyo tena kazi na umri.
Anaweza kucheza kama CF, kisha anacheza kama Ss, anazima kaka attacking midfielder, anaweza kicheza kama winger.. wachezaji wa vile nawapenda sana.. halafu ni miguu yote.
Soka la bongo jau saana.. phiri ni baller, ni jamii ya mpanzu, ila phiri yuko mbele ya mpanzu kidoogo...Yap. Mpaka ana ondoka alikuwa top scorer kwenye team yetu, ila ali sugulishwa bench kisa majungu.
Sio kidogo ni 8 mile EminemSoka la bongo jau saana.. phiri ni baller, ni jamii ya mpanzu, ila phiri yuko mbele ya mpanzu kidoogo...
Kwa ufupi sana.
Simba wamemkosa Feisal pendekezo la kocha Fadlu, lakini pia uwezekano wa kumpata Allan Okello ni mgumu.
Fadlu ameonesha bado anahitaji mchezji wa kuamua mechi kubwa na kutengeneza nafasi ndani ya 18.
Clatous Chota Chama bado anao uwezo wa kufanya mambo makubwa pale simba "kiufundi zaidi".
Mrudisheni CHAMA
huyu jamaa bado anaweza kuch3za angalau 2 yrs...
tumkumbuke pirlo...
Inakuwaje sasa baadhi ya mashabiki wasio ujua mpira kama cocastic wanalalamikia huu usajili wa Mwamba wa Lusaka?Wamriufishe tu chama...
Akili imeshamrudi
kweli wewe ni mtoto wa shule.Shenzi kabisa. Simba hainyenyekei mchezaji kwasababu Simba sio Yanga. Msimu uliopita tumecheza fainali za Shirikisho bila Chama. Hatumuhitaji!