Nalivua pendo...

uko vizuri mkuu
 
Pole sana dada
 
Shinda kwenye nyumba za ibada. Utapata new direction, new purpose
 
Tuliza mzuka. Umeshafikia uamuzi wa kulivua pendo. Hilo ni kosa la jinai. Katika mapenzi hakuna kukata tamaa. Chukua hatua ya kwenda mbali na hapo, ukakae kimya kidogo kuutuliza mfadhaiko ulioupata.
Wapo waliokuambia ati tafuta kipoozeo, hapana. Tulia kwanza. Najua sio rahisi ila, chukulia kwamba; Alifariki ghafla tu. Harudi tena. Sasa ukiweza hilo, jiulize kuwa chanzo ni nini?? Usiende papara. Kama ni weye, jipange upya namna ya kuomba msamaha. Kama ni mwingine yaani mchepuko, jipange namna ya kurudi home uulize ulichokosea hata akachepuka. Uliza kwa utaratibu bila mihemuko. Usimtume mtu yeyote kukuulizia au kukuombea msamaha.
Ukinyenyekea na kujifanya zoba utarudi home. Ukiisha rudi home, anza sasa kujiimarisha namna ya kujibu mashambulizi ukiwa kwako. Usijibu mashambulizi ukiwa nje ya nyumba yako baby. Hutakaa ushinde ukiwa nje ya nyumba.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…