Naliona jimbo la Moshi mjini likirudi CCM

Naliona jimbo la Moshi mjini likirudi CCM

Kuna mambo mengine ni kichefuchefu kabisa kutasoma
 
HILO JIMBO NI ONE OF THE HARDEST HAPA NCHINI.mAJORITY YA MAENEO YA mOSHI YANA BARABARA NA UMEME NA SHULE NA MAHOSPITALI SINCE TH E COLONIAL ERA....Huwezi kuja na cheap politics za kuahidi watu utawaletea maendeleo leo,wakati tayari wanayo.......Huyu jamaa anamaliza pesa yake tu,watu wanaongezea mtaji kwake tu.......25th October will say it all.
 
yaani umeandika point kuanzia mwanzo mpaka mwisho. kwa vyovyote vile iwavyo huwezi kuwa nyumbu. asante kwa pointi zilizoshiba. tunawahitaji watu wenye uelewa mpana kama nyie, na sio hao nyumbu.
na mimi wakiniuliza juu ya huyu jamaa nitakopi na kupaste japo sitaku-acknowledge.
nisisahau pia kukiri kuwa hiyo kasumba ya black imenikumba hata mimi. nimelichukua somo lako hapa.

Kama anawathamini watu wa Moshi, hahitaji kuwa mbunge kuyafanya hayo. Kwani kipi kinamzuia kuyafanya kabla hajawa mbunge?

Sina ubaya na Mosha, ila nakosoa kasumba ya ngozi nyeusi kujenga nyumba ya ghorofa 3 ya kuishi wakati ana mke na watoto wawili tu. Vyumba vingine anaishi nani? Hii ni lugha ya picha, maana yake badala ya kujenga mahekalu ya kuishi tunaweza kujenga hospitali kubwa au shule tukaajiri watanzania wenzetu na tukapata pesa zaidi maana huo ni uwekezaji wakati jumba la kuishi ni liability. Badala ya kununua 'car toys' angejikita katika kubadilisha maisha ya watanzania na wana Moshi kwa kuwekeza KILA SENTI anayopata. Mambo ya Lamborgini angewaachia watukutu na wasio na majukumu kwa jamii zao kama kina Baloteli.

Chris Rock anasema Niggers spend money like the shit is gona rot-yaani weusi tunatumia hela kana kwamba usipozitumia zitaoza. Mfano mzuri ni Mayweather-100 cars, private jets,etc. Sasa mtu gari mia za kutembelea za nini? Kuna ngozi nyeusi inayokula hela ya babu yake (kwamba bado hajaanza kula za baba yake na zakwake anazozalisha) kama wahindi, wazungu? That is why black people can only get rich, but never wealthy!

So anaahidi kuifufua timu ya Ushirika stars (aka Washirika) akiupata ubunge. Mwambieni Kaka (mhindi) aliifadhili Tukuyu Stars (Banyambala) na kufanikiwa kuchukua ubingwa wa Tanzania mwaka 1986 na hakuwa mbunge.
 
Kama anawathamini watu wa Moshi, hahitaji kuwa mbunge kuyafanya hayo. Kwani kipi kinamzuia kuyafanya kabla hajawa mbunge?

Sina ubaya na Mosha, ila nakosoa kasumba ya ngozi nyeusi kujenga nyumba ya ghorofa 3 ya kuishi wakati ana mke na watoto wawili tu. Vyumba vingine anaishi nani? Hii ni lugha ya picha, maana yake badala ya kujenga mahekalu ya kuishi tunaweza kujenga hospitali kubwa au shule tukaajiri watanzania wenzetu na tukapata pesa zaidi maana huo ni uwekezaji wakati jumba la kuishi ni liability. Badala ya kununua 'car toys' angejikita katika kubadilisha maisha ya watanzania na wana Moshi kwa kuwekeza KILA SENTI anayopata. Mambo ya Lamborgini angewaachia watukutu na wasio na majukumu kwa jamii zao kama kina Baloteli.

Chris Rock anasema Niggers spend money like the shit is gona rot-yaani weusi tunatumia hela kana kwamba usipozitumia zitaoza. Mfano mzuri ni Mayweather-100 cars, private jets,etc. Sasa mtu gari mia za kutembelea za nini? Kuna ngozi nyeusi inayokula hela ya babu yake (kwamba bado hajaanza kula za baba yake na zakwake anazozalisha) kama wahindi, wazungu? That is why black people can only get rich, but never wealthy!

So anaahidi kuifufua timu ya Ushirika stars (aka Washirika) akiupata ubunge. Mwambieni Kaka (mhindi) aliifadhili Tukuyu Stars (Banyambala) na kufanikiwa kuchukua ubingwa wa Tanzania mwaka 1986 na hakuwa mbunge.

Nimeipenda reasoning yako! I wish Watz tuwe na mawazo ya namna hii, "maendeleo tusingesubiri tuletewe na viongozi".
 
Wadau kama mtakumbuka hivi majuzi kwenye kura za maoni CCM wamempitisha kijana tajiri David Mosha (ambaye anasemekana ndio wa kwanza na wa mwisho kununua gari ghali zaidi na la kifahari hapa Tanzania-lamborghini) na CHADEMA wamempitisha aliyekuwa meya wa Moshi Mjini na diwani wa Uswazi (Pasua, Matindigani co.) masikini mwenzangu Jafary Michael.

Davis Mosha ni mtu wa level ya akina Mzee Ndesa pesa ambaye kiuhalisia pesa zake zilikuwa zinambeba sana kwenye ubunge pamoja na kuwa alikuwa hawezi kufanya chochote kutokana na umri wake.

2010 wakati Ndesa-CHADEMA akishindana na Salakana-CCM alifikia hatua kwenye kampeni anawaambia wana-Moshi kuwa ''huyu Salakana alikuwa mfanyakazi wangu kwenye sheli. leo hii hiki kiburi cha kushindana na boss wake amekitoa wapi''!

Na kwa kweli wana Moshi bila ajizi walimpa kura mzee Ndesa, na kwa sababu hiyo basi, wana-Moshi sera yao ni kuwa kiongozi masikini atahubiri umasikini na tajiri atahubiri utajiri na pengine kuwaambuza huo ukwasi.

Naziona mwaka huu kura wana Moshi zikimuangukia kijana tajiri David Mosha kwenye ubunge.

Msije kusema sijawatonya.
Ni Davis mosha au David mosha? Tuanzie hapo kwanza
 
Ni Davis mosha au David mosha? Tuanzie hapo kwanza
naona sasa wewe unataka kuniumbua tu. vitu vingine siupotezee bhana! elimradi umeelewa mada au unataka kunipa maksi nini?
 
Wadau kama mtakumbuka hivi majuzi kwenye kura za maoni CCM wamempitisha kijana tajiri David Mosha (ambaye anasemekana ndio wa kwanza na wa mwisho kununua gari ghali zaidi na la kifahari hapa Tanzania-lamborghini) na CHADEMA wamempitisha aliyekuwa meya wa Moshi Mjini na diwani wa Uswazi (Pasua, Matindigani co.) masikini mwenzangu Jafary Michael.

Davis Mosha ni mtu wa level ya akina Mzee Ndesa pesa ambaye kiuhalisia pesa zake zilikuwa zinambeba sana kwenye ubunge pamoja na kuwa alikuwa hawezi kufanya chochote kutokana na umri wake.

2010 wakati Ndesa-CHADEMA akishindana na Salakana-CCM alifikia hatua kwenye kampeni anawaambia wana-Moshi kuwa ''huyu Salakana alikuwa mfanyakazi wangu kwenye sheli. leo hii hiki kiburi cha kushindana na boss wake amekitoa wapi''!

Na kwa kweli wana Moshi bila ajizi walimpa kura mzee Ndesa, na kwa sababu hiyo basi, wana-Moshi sera yao ni kuwa kiongozi masikini atahubiri umasikini na tajiri atahubiri utajiri na pengine kuwaambuza huo ukwasi.

Naziona mwaka huu kura wana Moshi zikimuangukia kijana tajiri David Mosha kwenye ubunge.

Msije kusema sijawatonya.

kuwa unaona
 
Wadau kama mtakumbuka hivi majuzi kwenye kura za maoni CCM wamempitisha kijana tajiri David Mosha (ambaye anasemekana ndio wa kwanza na wa mwisho kununua gari ghali zaidi na la kifahari hapa Tanzania-lamborghini) na CHADEMA wamempitisha aliyekuwa meya wa Moshi Mjini na diwani wa Uswazi (Pasua, Matindigani co.) masikini mwenzangu Jafary Michael.

Davis Mosha ni mtu wa level ya akina Mzee Ndesa pesa ambaye kiuhalisia pesa zake zilikuwa zinambeba sana kwenye ubunge pamoja na kuwa alikuwa hawezi kufanya chochote kutokana na umri wake.

2010 wakati Ndesa-CHADEMA akishindana na Salakana-CCM alifikia hatua kwenye kampeni anawaambia wana-Moshi kuwa ''huyu Salakana alikuwa mfanyakazi wangu kwenye sheli. leo hii hiki kiburi cha kushindana na boss wake amekitoa wapi''!

Na kwa kweli wana Moshi bila ajizi walimpa kura mzee Ndesa, na kwa sababu hiyo basi, wana-Moshi sera yao ni kuwa kiongozi masikini atahubiri umasikini na tajiri atahubiri utajiri na pengine kuwaambuza huo ukwasi.

Naziona mwaka huu kura wana Moshi zikimuangukia kijana tajiri David Mosha kwenye ubunge.

Msije kusema sijawatonya.
Naziona mwaka huu kura wana Moshi zikimuangukia kijana tajiri David Mosha kwenye ubunge. "KWELI NI TAJIRI, TUMEONA PESA ZAKE ZIKIZAGAA......
 
Hili gemu inabidi uliangalie kwa mbali. Manake.........
Tunayoyajua tukisema hapa itakuwa balaa.
 
Aliemshauri Davies Mosha amemdanganya.
Watu wa moshi wapo radhi kumpa mbuzi ubunge kuliko kiongozi yeyote wa CCM.
Majimbo ya Chadema yote hayawezi kurudi CCM zaid ya wao kuzidi kupoteza majimbo zaidi.
 
Ni ujinga ujinga tu kumsifia mtu kwa utajiri wake wakati huu wa kampeni.
Ujinga ujinga zaidi huyu mtu hajawahi kufanya jambo lolote la kijamii kulingana na utajiri alio nao.
Ni ujinga ujinga zaidi sana unaacha shughuli zako unasifia magari yake
 
Back
Top Bottom