"Nalifanyia Kazi Jambo Hili"

"Nalifanyia Kazi Jambo Hili"

Kalamu

Platinum Member
Joined
Nov 26, 2006
Posts
19,551
Reaction score
26,205
Kama ni kweli maneno hayo yamesemwa na Rais Samia; kama yalivyo wasilishwa na mtangazaji Salim Kikeke: Maneno yenyewe ni haya: "Nalifanyia kazi jambo hili. Binafsi kutoka moyoni mwangu nataka taifa lenye umoja."

Salim kayaandika maneno hayo yakiwa sehemu ya maongezi yake kwa njia ya simu na Rais Samia.

Kwanza niseme, sina sababu za kumtilia mashaka sana Salim Kikeke kuhusu maongezi yake na rais, pamoja na kwamba mtu huyo simfahamu vyema; ingawa kagusia pia katazo la kuitoa habari hiyo na nyinginezo kwenye maongezi yao; kaamua kughaili katazo hilo na kuitoa hii kama dokezo la nia ya rais.

Lakini hayo maongezi yao tuyaweke pembeni, tujaribu kwanza kushughulika na haya maneno machache

Kinachojulikana ni kuwa haya maneno yanahusiana na yanayoendelea kwenye mitandao, ambayo rais kaeleza anayo taarifa juu yake...
Lakini haikufumbuliwa wazi ni "Jambo" gani linalozungumziwa moja kwa moja. Wewe unajuwa ni jambo gani "Analolifanyia Kazi Rais"?

Kwa kuwa kaongezea maneno kulihusu jambo hilo, kwa kusema "Binafsi kutoka moyoni mwangu nataka taifa lenye umoja"; ni wazi kuwa ni jambo linalohusu uchaguzi mkuu ujao.

Hadharani tunasikia CCM wakijiapiza kuwa uchaguzi ni lazima uendelee kama ulivyo pangwa. Lakini rais sasa anadokeza kuna jambo analifanyia kazi, ili kulinda umoja wa taifa.

Maoni yangu ni kwamba NORNOE imekolea mioyoni mwa watu wote; hata wale ambao walikuwa wannaapa kutotikiswa na dhoruba hili.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
No Reforms No Election imeshapenya hadi kwenye Kuta za IKULU ,hawapati usingizi usingizi ,ni mwendo wa kelele za mang'amung'amu .

Kayataka Tanganyika itampatia .

Kama anajiamini aache kumtoa .
 
Maandamano yanayoendelea ni ku unfollow wasanii na viongozi wote wa serikali kwenye mitandao ya Kijamii. Polisi njooni na bunduki na virungu sasa kutulazimisha ku follow back.

No Reforms No Election.💪🏾
 
Kama ni kweli maneno hayo yamesemwa na Rais Samia; kama yalivyo wasilishwa na mtangazaji Salim Kikeke: Maneno yenyewe ni haya: "Nalifanyia kazi jambo hili. Binafsi kutoka moyoni mwangu nataka taifa lenye umoja."

Salim kayaandika maneno hayo yakiwa sehemu ya maongezi yake kwa njia ya simu na Rais Samia.

Kwanza niseme, sina sababu za kumtilia mashaka sana Salim Kikeke kuhusu maongezi yake na rais, pamoja na kwamba mtu huyo simfahamu vyema; ingawa kagusia pia katazo la kuitoa habari hiyo na nyinginezo kwenye maongezi yao; kaamua kughaili katazo hilo na kuitoa hii kama dokezo la nia ya rais.

Lakini hayo maongezi yao tuyaweke pembeni, tujaribu kwanza kushughulika na haya maneno machache

Kinachojulikana ni kuwa haya maneno yanahusiana na yanayoendelea kwenye mitandao, ambayo rais kaeleza anayo taarifa juu yake...
Lakini haikufumbuliwa wazi ni "Jambo" gani linalozungumziwa moja kwa moja. Wewe unajuwa ni jambo gani "Analolifanyia Kazi Rais"?

Kwa kuwa kaongezea maneno kulihusu jambo hilo, kwa kusema "Binafsi kutoka moyoni mwangu nataka taifa lenye umoja"; ni wazi kuwa ni jambo linalohusu uchaguzi mkuu ujao.

Hadharani tunasikia CCM wakijiapiza kuwa uchaguzi ni lazima uendelee kama ulivyo pangwa. Lakini rais sasa anadokeza kuna jambo analifanyia kazi, ili kulinda umoja wa taifa.

Maoni yangu ni kwamba NORNOE imekolea mioyoni mwa watu wote; hata wale ambao walikuwa wannaapa kutotikiswa na dhoruba hili.

Mungu Ibariki Tanzania.
Usimuamini Kikeke hata siku moja.. Hawezi kamwe kuweka wazi off mic conversation... Katumwa kufanya spinning hana lolote
 
Kama ni kweli maneno hayo yamesemwa na Rais Samia; kama yalivyo wasilishwa na mtangazaji Salim Kikeke: Maneno yenyewe ni haya: "Nalifanyia kazi jambo hili. Binafsi kutoka moyoni mwangu nataka taifa lenye umoja."

Salim kayaandika maneno hayo yakiwa sehemu ya maongezi yake kwa njia ya simu na Rais Samia.

Kwanza niseme, sina sababu za kumtilia mashaka sana Salim Kikeke kuhusu maongezi yake na rais, pamoja na kwamba mtu huyo simfahamu vyema; ingawa kagusia pia katazo la kuitoa habari hiyo na nyinginezo kwenye maongezi yao; kaamua kughaili katazo hilo na kuitoa hii kama dokezo la nia ya rais.

Lakini hayo maongezi yao tuyaweke pembeni, tujaribu kwanza kushughulika na haya maneno machache

Kinachojulikana ni kuwa haya maneno yanahusiana na yanayoendelea kwenye mitandao, ambayo rais kaeleza anayo taarifa juu yake...
Lakini haikufumbuliwa wazi ni "Jambo" gani linalozungumziwa moja kwa moja. Wewe unajuwa ni jambo gani "Analolifanyia Kazi Rais"?

Kwa kuwa kaongezea maneno kulihusu jambo hilo, kwa kusema "Binafsi kutoka moyoni mwangu nataka taifa lenye umoja"; ni wazi kuwa ni jambo linalohusu uchaguzi mkuu ujao.

Hadharani tunasikia CCM wakijiapiza kuwa uchaguzi ni lazima uendelee kama ulivyo pangwa. Lakini rais sasa anadokeza kuna jambo analifanyia kazi, ili kulinda umoja wa taifa.

Maoni yangu ni kwamba NORNOE imekolea mioyoni mwa watu wote; hata wale ambao walikuwa wannaapa kutotikiswa na dhoruba hili.

Mungu Ibariki Tanzania.
Huyo bibi foreigner kutoka nchi jirani ya Zanzibar anatuharibia Tanganyika yetu kwa makusudi, sasa ame-recruit Wazanzibari wengine Ex-CHADEMA members waiue kabisa CHADEMA ili wahamishe kila kinachoweza kuhamishika kutoka Tanganyika kwenda Zanzibar. By the end of her dictatorial regime Tanganyika's resources will be completely wiped out.
No Reforms No Elections.
 
1749603408396.jpg
 
Kama ni kweli maneno hayo yamesemwa na Rais Samia; kama yalivyo wasilishwa na mtangazaji Salim Kikeke: Maneno yenyewe ni haya: "Nalifanyia kazi jambo hili. Binafsi kutoka moyoni mwangu nataka taifa lenye umoja."

Salim kayaandika maneno hayo yakiwa sehemu ya maongezi yake kwa njia ya simu na Rais Samia.

Kwanza niseme, sina sababu za kumtilia mashaka sana Salim Kikeke kuhusu maongezi yake na rais, pamoja na kwamba mtu huyo simfahamu vyema; ingawa kagusia pia katazo la kuitoa habari hiyo na nyinginezo kwenye maongezi yao; kaamua kughaili katazo hilo na kuitoa hii kama dokezo la nia ya rais.

Lakini hayo maongezi yao tuyaweke pembeni, tujaribu kwanza kushughulika na haya maneno machache

Kinachojulikana ni kuwa haya maneno yanahusiana na yanayoendelea kwenye mitandao, ambayo rais kaeleza anayo taarifa juu yake...
Lakini haikufumbuliwa wazi ni "Jambo" gani linalozungumziwa moja kwa moja. Wewe unajuwa ni jambo gani "Analolifanyia Kazi Rais"?

Kwa kuwa kaongezea maneno kulihusu jambo hilo, kwa kusema "Binafsi kutoka moyoni mwangu nataka taifa lenye umoja"; ni wazi kuwa ni jambo linalohusu uchaguzi mkuu ujao.

Hadharani tunasikia CCM wakijiapiza kuwa uchaguzi ni lazima uendelee kama ulivyo pangwa. Lakini rais sasa anadokeza kuna jambo analifanyia kazi, ili kulinda umoja wa taifa.

Maoni yangu ni kwamba NORNOE imekolea mioyoni mwa watu wote; hata wale ambao walikuwa wannaapa kutotikiswa na dhoruba hili.

Mungu Ibariki Tanzania.
Kikeke ni nani nchi hii mpk aongee na Rais mambo makubwa ya nchi? Watu waache kumtumia Rais kutafuta attention ya wananchi kwa maslahi yao binafsi. Rais ni taasisi hashauriwi na watu binafsi mitaani
 
No Reforms No Election imeshapenya hadi kwenye Kuta za IKULU ,hawapati usingizi usingizi ,ni mwendo wa kelele za mang'amung'amu .

Kayataka Tanganyika itampatia .

Kama anajiamini aache kumtoa .
Lione hili zombie, hawa watu wamechanganyikiwa kila tope litakalozushwa wanalishangilia. Nyie ni mazuzu
 
Kati ya watu waliojiharibia huyu mama ni mmoja wao. Siku akiyoka madarakani itabidi aende kwa Wajomba zake huko Uarabuni kupumzika, kuomba na kutubu.
Mpumbavu km wewe ndio mmeharibu huu mtandao, huoni aibu kuandika huu upumbavu?
 
Mpumbavu km wewe ndio mmeharibu huu mtandao, huoni aibu kuandika huu upumbavu?

Mpumbavu ni wewe usiyejielewa.

Kwa taarifa tu bila sisi hili jukwaa lisingekuwepo. Wakati tunaanza ulikuwa unavaa nepi za matambala wewe.
 
Kama ni kweli maneno hayo yamesemwa na Rais Samia; kama yalivyo wasilishwa na mtangazaji Salim Kikeke: Maneno yenyewe ni haya: "Nalifanyia kazi jambo hili. Binafsi kutoka moyoni mwangu nataka taifa lenye umoja."

Salim kayaandika maneno hayo yakiwa sehemu ya maongezi yake kwa njia ya simu na Rais Samia.

Kwanza niseme, sina sababu za kumtilia mashaka sana Salim Kikeke kuhusu maongezi yake na rais, pamoja na kwamba mtu huyo simfahamu vyema; ingawa kagusia pia katazo la kuitoa habari hiyo na nyinginezo kwenye maongezi yao; kaamua kughaili katazo hilo na kuitoa hii kama dokezo la nia ya rais.

Lakini hayo maongezi yao tuyaweke pembeni, tujaribu kwanza kushughulika na haya maneno machache

Kinachojulikana ni kuwa haya maneno yanahusiana na yanayoendelea kwenye mitandao, ambayo rais kaeleza anayo taarifa juu yake...
Lakini haikufumbuliwa wazi ni "Jambo" gani linalozungumziwa moja kwa moja. Wewe unajuwa ni jambo gani "Analolifanyia Kazi Rais"?

Kwa kuwa kaongezea maneno kulihusu jambo hilo, kwa kusema "Binafsi kutoka moyoni mwangu nataka taifa lenye umoja"; ni wazi kuwa ni jambo linalohusu uchaguzi mkuu ujao.

Hadharani tunasikia CCM wakijiapiza kuwa uchaguzi ni lazima uendelee kama ulivyo pangwa. Lakini rais sasa anadokeza kuna jambo analifanyia kazi, ili kulinda umoja wa taifa.

Maoni yangu ni kwamba NORNOE imekolea mioyoni mwa watu wote; hata wale ambao walikuwa wannaapa kutotikiswa na dhoruba hili.

Mungu Ibariki Tanzania.
Maoni yangu ni kwamba NORNOE imekolea mioyoni mwa watu wote; hata wale ambao walikuwa wannaapa kutotikiswa na dhoruba hili.📌🔨✌🏿💪🏿
 
Maoni yangu ni kwamba NORNOE imekolea mioyoni mwa watu wote; hata wale ambao walikuwa wannaapa kutotikiswa na dhoruba hili.📌🔨✌🏿💪🏿
Shida sio no reform Bali shida ni wasaka kiti wa makundi mengine.

Kwamba CCM itake reform Ili iondoke au? Hapa CCM inatafuta jinsi ya ku counter off hiyo reform hata ikibidi Kwa kubadili mshika bendera ambae makundi Yao yamempiga fitina yenyewe Kwa sababu zao za kugombea madaraka.
 
Back
Top Bottom