Norbert Kapinga
Member
- Aug 28, 2015
- 37
- 12
polen na majukumu wana JF, Mwenzenu nimeomba nafasi ya kujiunga na vyuo vya afya kozi ya HEALTH COMMUNITY toka mwenzi August 2015, maajabu yake selection za kwanza nikakosa. Leo tena wametoa selection zingine tena lkn bado hawajanichagua, na vyuo vimefunguliwa toka tar 2 November, nifanyeje jaman naomben ushauri wenu maana emails hawajib, simu hawapokei. nahis kuchanganyikiwa na muda nao unayoyoma