NALETA UCHUMI UNAOPAA: Jakaya Mrisho Kikwete

Hotuba hii alikuwa hayanunuliwa suti, nakutolewa out US,sasa hivi naamini inaweza kuikana kuwa sio yake,anyway kama binadamu tukubali ana mapungufu yake japo yamezidi,ndo hivyo maumivu hadi 2015,tumwombee Mungu amteremshie hekima kama ya Suleimani huenda nasi TZ tukala bata katika regime yake,otherwise God knowa we are in trouble
 
Uwezo wa kuongoza anao ila sema kazidiwa na ushkaji,CV yake inaonyesha kashika nyadhifa nyingi nyeti,tukubali kuwa aliingia na stail mbaya,ya kuwakumbatia wanamtandao ambao wamekuwa full kujiachia a.k.a utawafanya nini? inahitajika neema ya Mungu kutunusuru kwani sasa hivi wanamtandao wanakwapua kwa spidi ya ajabu coz ni last chance.
 
Ukimuuliza atakuambia hiyo spichi aliandika Januari Maropes, yeye (Jakaya) alichofanya ni kusoma tu.
 

Hii sasa ni kumtafuta mchawi, si tulimchagua wenyewe tena kwa asilimia 80 plus, Raisi handsome! Tusimlaumu Mwinyi.
 
Inasikitisha sana kwa Mkuu wa Nchi kukosa uelekeo na uchumi wa Taifa letu kuzidi kudidimia kwani hata jana alisikika akisema kuwa kila ahadi aliyotoa itatekelezwa kwani ahadi zote ziko kwenye maandishi.

Uchumi unaopaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…