Wadau leo hii pamoja na wenzangu kama elf 5 hivi tunatunukiwa rasmi shahada zetu ndani ya mlimani city. Bila shaka mawazo pevu yanaongezeka ndani ya jf na jamii kwa ujumla
kaka Hongera sana nipo jirani na hapo naona mashamra shamra kwa kwenda mbele ila duh soko la ajira ni ngumu sana na wenzenu wa UDOM mkichanganyika ni balaa soko la Ajira lenyewe halipanuki ni lile lile tuu na Shule zetu zinafundisha ili mtu uajiriwe na si kujiajiri pagumu sana hapo mkuu
Wadau nashukuruni kwa pongezi 'zenyu'. Ndo namalizia kijifunction hapa. Msihofu kuhusu ni gwanda la ngapi au mkozi upi. Tujenge jamii tu kwa taaluma tunazopata