chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,661
Weka pichaQueen ni mke wa JB msanii kwa sasa!!
Weka pichaQueen ni mke wa JB msanii kwa sasa!!
Nompanga duu muntuaWil
Songela,umupanga
Naona mnaongea lugha ya wauza bar. Mganga😃Nompanga duu muntua
Mpola za piiNompanga duu muntua
Jamaa alikuwa hana ushirikiano na watu akiwa waziri.Ametumia sehemu ya mwisho ya maisha yake kama Mhubiri wa habari njema ya Mungu. Mungu ampe pumziko la Amani la milele na amkumtanishe na waliomtangulia akiwemo mtoto wake , Juhudi Nalaila Kiula aliyefariki ile September 28 ya kusikitisha pale baharini kabla hapajaanza kuitwa Coco Beach.
Aliyepewa zawadi ya Ikarus siyo Nalaila Kiula. Somebody ana ubini wa Kushoka, alikuwa ndiye General Manager wa UDANyerere akamuuliza. Na hii Icarus fupi? Akasema nimepewa zawadi. Stupid.
Ununue ikarus kwa hela za umma Kisha upewe zawadi binafsi.? Acha ujinga, peleka yard ya Uda, Tena ipakwe rangi ya Uda na namba za SU.
Ndio kale ka Ikarus kasiko na mtoto.
Simon Kushoka.Aliyepewa zawadi ya Ikarus siyo Nalaila Kiula. Somebody ana ubini wa Kushoka, alikuwa ndiye General Manager wa UDA
Aisee kumbe ile Toyota Coaster mayai brand new aka Popobawa ilikuwa hongo!Huyu mzee alipiga dili kwenye mabasi ya UDA na yeye akaletewa basi dogo moja.
Singida rushwa ni kama Uji na Mgonjwa!
ILe kitu ilikuwa balaa hadi ikaitwa popobawa! Brand new Toyota Coaster mayai miaka ya tisini!RIP binadamu mwenzetu,kila mmoja atakukumbuka ni jinsi gani aliguswa nawe,mimi nitakukumbuka kwa dala dala yako maridadi kabisa kutoka posta hadi masaki(hii route uliikimata wewe tu!)na mmmmm mkasa ule mbele ya ile restaurant ya La dorce vita pale osterbay!!,but upumzike kwa amani ulikua very hard worker my minister.
Asante Kaka. Ni over 40 years now and my memory is becoming rusty.Aliyepewa zawadi ya Ikarus siyo Nalaila Kiula. Somebody ana ubini wa Kushoka, alikuwa ndiye General Manager wa UDA
Coaster 2 zilikua rushwa toka kwa wajapani. Mkaka alikua anapenda kuhongwa Kama mdada wa chuoAisee kumbe ile Toyota Coaster mayai brand new aka Popobawa ilikuwa hongo!
Yes Ile coaster ilikua hot mkuu,posta to masaki mmmmm kipindi nchi ina heshima na adabuILe kitu ilikuwa balaa hadi ikaitwa popobawa! Brand new Toyota Coaster mayai miaka ya tisini!
Mpola za kopwaniMpola za pii