Nakwama wapi....?

Nakwama wapi....?

That's not my life to copy someone....

You may copy her if she inspires you.

Granny Matata.


Ushazeeka granny, time never goes back live like a really granny not a fake one.
 
Ushazeeka granny, time never goes back live like a really granny not a fake one.


That's not news, bring the news so I can act upon.

Granny Matata.
 
Sishindwi kupambana nae, nahofia kumteka kijasusi kiasi kwamba atasahau pango lake la zamani. Halafu huwa sipendi kesi za kuwa nimebemenda mtu...

Jionee huruma basi usijetekwa na jasusi Matata.
Ha ha! Sio jasusi sema kajasusi kenye mapengo😎😜😜
Sasa unafikiri hako ka ujasusi kako kananitisha..??
Ukithubuti kujitia umwamba pigo moja la busu linatosha kukudumaza! Ukileta za kuleta mtama wa kimahaba mpaka chini!! Usipotulia na chini kifo Cha mende kitakuhusu huku mipapaso yakihuba ikipita kama shoti kwenye maungio yako!,nikiulalua ujasusi kitisho kwa wenye vipengo na mapengo na kushindwa kwa wenye vigego wenye magego..😜
 
Nimeutafuta mkwamoo hapo ili ukwamuliwe sijauona.
Unazungumzia kukwama kivp mkuu usaidiwe.
 
Nimeutafuta mkwamoo hapo ili ukwamuliwe sijauona.
Unazungumzia kukwama kivp mkuu usaidiwe.

Wewe ndo umefikirisha akili yako... Umegusa nilipolenga.


A tost to you, unidai zawadi ya mwaka mpya.
 
KENZY,


Kenzy bye, nshafika nnapoyachakata masantula till sunrises....
 
Sure, ukiona uzee umenisahaulisha nikumbishe tafadhali hata kwa like tuu.
Ahahahah.
Licha ya kuwa mm ni mzee zaid yako, nitakumbuka tu..na nitakukumbusha..ngoja nijitunzie ka screen shot haka.Nita share tu na ww ikifika time
 
Hivi ile kesi yako ya kutapeli iliishaje?
 
Siku zote wanaume ma handsome hua wanakuwaga na wanawake wabovu na wanawake wazuri hua na wanaume wenye sura ya kazi..hio ni general rule na to every general rule there are exceptions....
 
😭😭😭

Aahahahhaahhaaa
Nyaaamaazaaa mtoto nyaaamaazaaa
Mamio kaenda mjinii kulaaa bataaa
Kakutana na mabazazi kashindwa kuchomokaaa
Oooh oooh mtoto nyaaamaazaaa...

Jua limetoka uzuri tuu, glorious.
 
Ahahahah.
Licha ya kuwa mm ni mzee zaid yako, nitakumbuka tu..na nitakukumbusha..ngoja nijitunzie ka screen shot haka.Nita share tu na ww ikifika time


Aahahahahhahaaa usinifurahishe Asajizo, kwahiyo uzee wangu umeupima kwenye mzani wa kilo au kwa kuangalia avatar..!!??

Haina neno, tufanye wewe ni mzee zaidi yangu ila fahamu tuu kuwa Kasie ni Kigagula Kikongwe sema tuu ana Matata shehena.

Nashukuru sana kuwa utanikumbusha, pasi shaka panapo uzima na afya basi deni litalipwa... Halafu hebu ngoja kwanza nirejee nione nilisemaje, ntarudi hapa.

Nimerudi, Hakuna Matata, tuko meza moja bin pamoja.
 
Kasie,
Ahahahahahah..Nina vipimio vyangu na hivyo vinabak kuwa siri.

Wala hukusema cha ajab..just an open promise so it can be anything...
 
Siku zote wanaume ma handsome hua wanakuwaga na wanawake wabovu na wanawake wazuri hua na wanaume wenye sura ya kazi..hio ni general rule na to every general rule there are exceptions....


Asante sana, kiukweli wakati ule nahusiana na hao ma handsome one after the other, sikuwahi fikiria ila baada ya kumuona Allen hivi karibuni ndo nikajiuliza.... inakuwajee...?

Asante kunipa jibu Lyamba.

Wabheeja saanaaa mwijukulu waanee.

Granny Matata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom