Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,165
- 7,551
1.Ni kweli huu ukimya ndio uliotuahidi ukifika bungeni?
2. Pamoja na harakati zote zile tunanyeshewa pamoja,tunapigwa mabomu Tarime tukisukuma utangazwe mshindi umetususa watu wa Sirari?
3. Maendeleo uliyowaahidi wananchi wako tutayapata ukiwa nje ya bunge kwa suspension kweli?
Nawasilisha
2. Pamoja na harakati zote zile tunanyeshewa pamoja,tunapigwa mabomu Tarime tukisukuma utangazwe mshindi umetususa watu wa Sirari?
3. Maendeleo uliyowaahidi wananchi wako tutayapata ukiwa nje ya bunge kwa suspension kweli?
Nawasilisha