Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Atakuwa Addis kwenye Maziko ya Meles Zenawi! Ola Addis.
Ndege hazipo mkuu ajali zitatoka wapi?
Lakin si ameshahesabiwa????????
Mpaka sasa cjahezabiwa
hii laana itawapata wote walio mpa kura huyu jamaa....alikuwa anasubiri kuhesabiwa then asepe akaangalie balance kwenye account zake....shame on you mr.president
Mkuu umefanya siku yangu inaisha vizuri kwa jinsi ulivyopanga maneno yako, kweli inabidi tumuombee salama katika safari zake.Umenipita speed kali mida hii ukieleka uwanja wa ndege ukiwa na msafara wa magari mengi. Roho imeniuma sana kwa jinsi unavyo teketeza kodi zetu sisi walala hoi.
Safari zako siziunga mkono labda kama unaenda malawi kutatua mzozo wa mpaka.
Lakini sina budi kukubaliana na wewe kwa kua ndio uliyetangazwa na tume ya uchaguzi. Na watanzania walio kuchagua wameshafuzu mafunzo kwa vitendo, naamin safari inayokuja watakua makini.
Mungu akujalie uende na kurudi salama. mia
labda ethiopia