Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,063
- 11,110
Kuna mdada ali wrong number..Mi hawa wa kukosea namba nshawala kama wawili hivi, kamoja kakapiga , mara nimekosea namba,nikakauliza uko wapi,kakajibu" Nipo Sai"(Mbeya) chatisha sana kama mwezi, siku ya siku nikakavutia uzi kakaibuka Mabatini(Mbalizi Road-Geto) Kakaliwa baada ya kula chips yai na cocacola.
Wa Pili hivo hivo mimi ndo nilikosea namba, kusikia sauti nikavutiwa ,pause ,chatisha,pause ,pause chatisha,,, Kidawa mtoto wa Kingoni huyu hapa geto, stori, touch,stori,touch mara mboooo.....huyu alitoka bilabila,hakuna cha kiepe wala nauli..
Sijawahi kuwatia machoni mpaka leo,
Takribani miaka 10 iliyopita.
Katika maongezi nikaona yuko interested na kunijua.
Nikajiongeza kila kitu kikaa kaa kama nilivyotaka,
Siku ya kuonana sasa,kitu kilichokuja ni siri yangu.
Mpaka leo sijaribu hio michezo.