mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
Badala ya kunung'unika muende mkatafute hela ili muwahudumie wapenzi wenu. Nimetaja tu swala la K kama mfano. Point ni kwamba wanaume wanawaza kuwatumia wanawake tu bila kujali matunzo. Mtaandamana lakini mwisho wa siku nimesema ukweli.
mwaya wasikushambulie kwa kusema ukweli, mwanaume majukumu ati! mimi ni mwanaume lakini nakubaliana na mada yako. Wanaume wanaokupinga wengi wao ni wale wanaoogopa majukumu au wenye kipato kiduchu, na wanawake wanaopinga wengi wao ni wale wanaojiweza kimaisha.
Hajaribu ku-imagine wadada wanavyojiandaaga (kuoga vizuri, manukato safi, pamba nzuri etc) kwenda kwa boyfriends wao, tena wengi kwa kutumia kijipato chake kidogo au kwa kupewa na wazazi, ndg halafu anaishia kuchafuliwa tu na jamaa, hata haonyeshi kuchangia hizo gharam, loh! pum....bu zetu!!! sikubali hata kidogo!!
Jamani wanawake wanapenda kupendwa!!! shida vijana wa digitali wanataka vaisivesa! mwanaume kuheshimiwa bhana!