darling-tone
Member
- Apr 24, 2013
- 60
- 11
Wangaruka.....
Mwanaume raha yake akuhudumie bwana. Sio kwamba kwa ubaya ila basi kunogesha penzi. Haina maana kabisa kama mwanaume wako ana uwezo wa kufanya jambo fulani ila halifanyi kwako kama mpenziwe.
Unapokuwa na girlfriend jipange kumhudumia japo kwa machache kulingana na uwezo wako. Utakuta kaka mtu mzima anafanya kazi, ana uwezo wa kupata mahitaji muhimu na chenji inabaki eti hataki kumhudumia msichana wake kwa lolote. Anachotaka yeye ni kuja kuchomeka tu bila kujali pafyumu alojipuliza hadi ananukia imetoka wapi, gari analoendesha na kila siku kumudu mafuta limetoka wapi, kodi analipa imetoka wapi, nguo anazovaa na kupendeza hadi anakuvutia hujui zimetoka wapi. Ninasema nakushangaa kwani unautaka utamu wakati kugharamia hutaki. Nyie ndio mnawafanya wanawake wawe na wanaume wengi ili angalau kulipiza pale ambapo hujatimiza (kusema hivi sio kwamba nawasapoti wanawake wahuni ila huenda ni moja ya sababu wanafanya vile kwani aliyenaye hatimizi majukumu).
Kama unajiona hujajipanga na bado unaendekeza uchoyo basi usiwe na girlfriend. Ishi mwenyewe na uchoyo wako huo wa kutomnunulia hata chu...pi mpenzio.
Huu ni ukweli nawashangaa sana wanaume ambao hupenda sana kulalia vifua vya wanawake ila kutoa huduma haataki. Ukimuita girlfriend/mchumba ama mke basi onyesha walau huduma sio kila siku wewe unanogewa na utamu tu ila mengine hutaki. Kumbuka penye utamu palitengenezwa so na wewe changia matengenezo.
Na wanawake sina maana mbweteke tu, siku moja moja kwa hela zile zile unazopewa waweza zitumia kumtafutia hata kizawadi jamaa yako ili walau aweze kuona nae anajaliwa. Wanasema ukila na kipofu usimshike mkono.
Mwisho:
Sina maana mbaya kwa mada hii ila nimewiwa baada ya kuona wanaume wengi wanaonyesha kukerwa na ile dhana ya wao kuombwa huduma na wadada.....huu ni wajibu wenu as far as K na uhusiano is concerned. Ni moja ya njia za kuprove your manhood. Ukiona huombwi matumizi basi mhusika atakuwa anaona tu aibu na hivyo bila hiyana unapaswa umpe hata bila kuombwa. naomba wale rafiki zangu wanielewe.
Habari ndio hiyo.
J/Pili njema.
Mwanaume raha yake akuhudumie bwana. Sio kwamba kwa ubaya ila basi kunogesha penzi. Haina maana kabisa kama mwanaume wako ana uwezo wa kufanya jambo fulani ila halifanyi kwako kama mpenziwe.
Unapokuwa na girlfriend jipange kumhudumia japo kwa machache kulingana na uwezo wako. Utakuta kaka mtu mzima anafanya kazi, ana uwezo wa kupata mahitaji muhimu na chenji inabaki eti hataki kumhudumia msichana wake kwa lolote. Anachotaka yeye ni kuja kuchomeka tu bila kujali pafyumu alojipuliza hadi ananukia imetoka wapi, gari analoendesha na kila siku kumudu mafuta limetoka wapi, kodi analipa imetoka wapi, nguo anazovaa na kupendeza hadi anakuvutia hujui zimetoka wapi. Ninasema nakushangaa kwani unautaka utamu wakati kugharamia hutaki. Nyie ndio mnawafanya wanawake wawe na wanaume wengi ili angalau kulipiza pale ambapo hujatimiza (kusema hivi sio kwamba nawasapoti wanawake wahuni ila huenda ni moja ya sababu wanafanya vile kwani aliyenaye hatimizi majukumu).
Kama unajiona hujajipanga na bado unaendekeza uchoyo basi usiwe na girlfriend. Ishi mwenyewe na uchoyo wako huo wa kutomnunulia hata chu...pi mpenzio.
Huu ni ukweli nawashangaa sana wanaume ambao hupenda sana kulalia vifua vya wanawake ila kutoa huduma haataki. Ukimuita girlfriend/mchumba ama mke basi onyesha walau huduma sio kila siku wewe unanogewa na utamu tu ila mengine hutaki. Kumbuka penye utamu palitengenezwa so na wewe changia matengenezo.
Na wanawake sina maana mbweteke tu, siku moja moja kwa hela zile zile unazopewa waweza zitumia kumtafutia hata kizawadi jamaa yako ili walau aweze kuona nae anajaliwa. Wanasema ukila na kipofu usimshike mkono.
Mwisho:
Sina maana mbaya kwa mada hii ila nimewiwa baada ya kuona wanaume wengi wanaonyesha kukerwa na ile dhana ya wao kuombwa huduma na wadada.....huu ni wajibu wenu as far as K na uhusiano is concerned. Ni moja ya njia za kuprove your manhood. Ukiona huombwi matumizi basi mhusika atakuwa anaona tu aibu na hivyo bila hiyana unapaswa umpe hata bila kuombwa. naomba wale rafiki zangu wanielewe.
Habari ndio hiyo.
J/Pili njema.