Naona umekuja na majibu ya kifedhulifedhuli1. Wanakuzibia njia unaenda wapi? Hao wateja wanaonunua bidhaa za machinga wanapita wapi? Wewe ni Rais ukitaka kupita tukupishe njia?...
Ulivyomalizia hoja yako, inaonekana kuna kitu kimepungua kichwani.1. Wanakuzibia njia unaenda wapi? Hao wateja wanaonunua bidhaa za machinga wanapita wapi? Wewe ni Rais ukitaka kupita tukupishe njia?
2. Tangu machinga waruhusiwe umeshasikia kipindupindu dar? Huo usalama upi unaozungumzia?
3.kodi ipi halipi? Hizo tozo za miamala ya mpesa bado tu haiwatoshi? Hakuna machinga anaefata mzigo China ina maana walio import walilipa kodi stahiki mnataka nini tena.
4. Eti mandhari ya mji! We vipi? Mandhari yako nzuri ni ipi? Mandhari nzuri iko ngorongoro na serengeti, sisi hao machinga mamalishe ndio mandhari nzuri, na Kama kwako ni kero nenda mlimani City kanunue huko huku karakoram unafuata nini? Shenzi kabisa
Pole mkuu,1. Wanakuzibia njia unaenda wapi? Hao wateja wanaonunua bidhaa za machinga wanapita wapi? Wewe ni Rais ukitaka kupita tukupishe njia?
2. Tangu machinga waruhusiwe umeshasikia kipindupindu dar? Huo usalama upi unaozungumzia?
3.kodi ipi halipi? Hizo tozo za miamala ya mpesa bado tu haiwatoshi? Hakuna machinga anaefata mzigo China ina maana walio import walilipa kodi stahiki mnataka nini tena.
4. Eti mandhari ya mji! We vipi? Mandhari yako nzuri ni ipi? Mandhari nzuri iko ngorongoro na serengeti, sisi hao machinga mamalishe ndio mandhari nzuri, na Kama kwako ni kero nenda mlimani City kanunue huko huku karakoram unafuata nini? Shenzi kabisa
Hao machinga muhakikishe kwanza mna pa kuwapeleka tusije tukanza kukabana tu uswahilini!Nakupongeza Rc wa Dsm kwa ujasiri wa kuliona hili la wamachinga kuziba njia za wapita kwa miguu, kujenga vibanda kwenye mitaro na road reserve. Serikali mlikuwa wapi hawa wamachinga ni watu waliokuwa wamekosa mtu wa kuwaambia na wakajiona wako juu ya sheria
Athari za wamachinga ni kubwa sana kwa serikali
1: kuhatarisha usalama na foleni
Hakuna nafasi kupita njia zote zimezibwa ni hatari kwa usalama .ajali za mwendokasi na msongamano inasababisha foleni
2:Upikaji holela ni hatari kwa usalama na uharibifu wa mazingira
Kila kona watu wanapika hii si sawa
3, upotevu wa mapato ya serikali , machinga wengi hawalipi kodi na wanaziba maduka ya wafanyabiashara wakubwa na walipa kodi na hivyo kusababisha hata wafanyabiashara wakubwa kuanza kuwatumia wamachinga
4: kuharibika kwa mandhari ya Mji wa kibishara Dar es salam kuanzia airport mpaka unakaribia Ikulu ni uchafu tu vibanda vya kila sampuli
Hiii itapunguza idadi ya wataliikwasababu mtu akiangalia Mjin ulivyomchafu na bughudha za wamachinga hAwezi kurudi tena na jitihada za Rais kuitangaza Tanzania hazitafanikiwa kama mfumo huu wa kuwaachia machinga kujenga vibanda kila mahali na kuharibu mazingira
Ninakupongeza Rc Makalla ni muda sasa wa kutekeleza tamko lako na kwa ujasiri wako naamini unaweza ukarejesha heshima, mandhari ya Dsm
Hao machinga ndo hawafai usitetee ujinga ,mikoa mingapi wanajengewa soko wanaacha huko wanarudi barabarani? Unajua maana ya City plan ?mitaro ya Dar imejaa uchafu kwa ajili ya machinga halafu unasema umesikia kipindupindu? Unajengaje kibanda juu ya mtaro makaratasi na nylon na chupa za mikojo unatupia mtaroni ? . Chakula kinaliwa juu ya mtaro chini maji machafu yanapita,mitaro imeziba kwa ajili ya uchafu wa wamachinga.1. Wanakuzibia njia unaenda wapi? Hao wateja wanaonunua bidhaa za machinga wanapita wapi? Wewe ni Rais ukitaka kupita tukupishe njia?
2. Tangu machinga waruhusiwe umeshasikia kipindupindu dar? Huo usalama upi unaozungumzia?
3.kodi ipi halipi? Hizo tozo za miamala ya mpesa bado tu haiwatoshi? Hakuna machinga anaefata mzigo China ina maana walio import walilipa kodi stahiki mnataka nini tena.
4. Eti mandhari ya mji! We vipi? Mandhari yako nzuri ni ipi? Mandhari nzuri iko ngorongoro na serengeti, sisi hao machinga mamalishe ndio mandhari nzuri, na Kama kwako ni kero nenda mlimani City kanunue huko huku karakoram unafuata nini? Shenzi kabisa
machinga sio wa kubembeleza mikoa kadhaa wanajengewa sehemu yao wanaacha wanarudi mbele ya maduka za watuHao machinga muhakikishe kwanza mna pa kuwapeleka tusije tukanza kukabana tu uswahilini!
Mnapowajengea kuna wateja? Au ilimradi tu umtoe mtu kariakoo umuhamishie kimbiji? Hamna mtu atakubali hilomachinga sio wa kubembeleza mikoa kadhaa wanajengewa sehemu yao wanaacha wanarudi mbele ya maduka za watu
Fukuzeni machinga wote basi wakalime alizeti mbaki wenye maduka tu makubwaNakupongeza Rc wa Dsm kwa ujasiri wa kuliona hili la wamachinga kuziba njia za wapita kwa miguu, kujenga vibanda kwenye mitaro na road reserve. Serikali mlikuwa wapi hawa wamachinga ni watu waliokuwa wamekosa mtu wa kuwaambia na wakajiona wako juu ya sheria
Athari za wamachinga ni kubwa sana kwa serikali
1: kuhatarisha usalama na foleni
Hakuna nafasi kupita njia zote zimezibwa ni hatari kwa usalama .ajali za mwendokasi na msongamano inasababisha foleni
2:Upikaji holela ni hatari kwa usalama na uharibifu wa mazingira
Kila kona watu wanapika hii si sawa
3, upotevu wa mapato ya serikali , machinga wengi hawalipi kodi na wanaziba maduka ya wafanyabiashara wakubwa na walipa kodi na hivyo kusababisha hata wafanyabiashara wakubwa kuanza kuwatumia wamachinga
4: kuharibika kwa mandhari ya Mji wa kibishara Dar es salam kuanzia airport mpaka unakaribia Ikulu ni uchafu tu vibanda vya kila sampuli
Hiii itapunguza idadi ya wataliikwasababu mtu akiangalia Mjin ulivyomchafu na bughudha za wamachinga hAwezi kurudi tena na jitihada za Rais kuitangaza Tanzania hazitafanikiwa kama mfumo huu wa kuwaachia machinga kujenga vibanda kila mahali na kuharibu mazingira
Ninakupongeza Rc Makalla ni muda sasa wa kutekeleza tamko lako na kwa ujasiri wako naamini unaweza ukarejesha heshima, mandhari ya Dsm
we una duka lako halafu mwingine anakuzibia njia anakuja kuweka kibanda chake mbele yako au bishara unayofanya wewe yeye anakuja kusimama mbele ya duka lako anauza we utaakubali?Mnapowajengea kuna wateja? Au ilimradi tu umtoe mtu kariakoo umuhamishie kimbiji? Hamna mtu atakubali hilo
Hilo sikubaliani nalo kabisa namtimuašwe una duka lako halafu mwingine anakuzibia njia anakuja kuweka kibanda chake mbele yako au bishara unayofanya wewe yeye anakuja kusimama mbele ya duka lako anauza we utaakubali?
Unaathirika vipi na hayo uliyoyaeleza?Hao machinga ndo hawafai usitetee ujinga ,mikoa mingapi wanajengewa soko wanaacha huko wanarudi barabarani? Unajua maana ya City plan ?mitaro ya Dar imejaa uchafu kwa ajili ya machinga halafu unasema umesikia kipindupindu? Unajengaje kibanda juu ya mtaro makaratasi na nylon na chupa za mikojo unatupia mtaroni ? . Chakula kinaliwa juu ya mtaro chini maji machafu yanapita,mitaro imeziba kwa ajili ya uchafu wa wamachinga.
Uwizi na usalama pia ,wamachinga wajengewe sehemu kama hawataki wapigwe marungu wasionekane mbele za maduka ya watu na kuziba barabara
Nawewe funga duka weka kibanda mbele yake shida nini?we una duka lako halafu mwingine anakuzibia njia anakuja kuweka kibanda chake mbele yako au bishara unayofanya wewe yeye anakuja kusimama mbele ya duka lako anauza we utaakubali?
Mkuu pamoja na mchango wa mawazo/hoja yako mzuri ambayo huenda huenda haingepingwa na hoja mzuri zadi, lalini umaliziaji wa hoja yako imepunguzwa ubora wake kwa maneno "SHENZI KABISA" punguza jaziba kiongozi.1. Wanakuzibia njia unaenda wapi? Hao wateja wanaonunua bidhaa za machinga wanapita wapi? Wewe ni Rais ukitaka kupita tukupishe njia?
2. Tangu machinga waruhusiwe umeshasikia kipindupindu dar? Huo usalama upi unaozungumzia?
3.kodi ipi halipi? Hizo tozo za miamala ya mpesa bado tu haiwatoshi? Hakuna machinga anaefata mzigo China ina maana walio import walilipa kodi stahiki mnataka nini tena.
4. Eti mandhari ya mji! We vipi? Mandhari yako nzuri ni ipi? Mandhari nzuri iko ngorongoro na serengeti, sisi hao machinga mamalishe ndio mandhari nzuri, na Kama kwako ni kero nenda mlimani City kanunue huko huku karakoram unafuata nini? Shenzi kabisa
Siku magaidi wakitumia vibanda vya wamachinga Kama maficho kuzuru viongozi au Raia msianze kulalamika.Wamachinga wamevuka mipaka aiseeee.Bora wamachinga wa zamani walikuwa wanabeba vitu na kutembea navyo,ila Toka waruhusu kujenga mabanda imekuwa shiiida tupu1. Wanakuzibia njia unaenda wapi? Hao wateja wanaonunua bidhaa za machinga wanapita wapi? Wewe ni Rais ukitaka kupita tukupishe njia?
2. Tangu machinga waruhusiwe umeshasikia kipindupindu dar? Huo usalama upi unaozungumzia?
3.kodi ipi halipi? Hizo tozo za miamala ya mpesa bado tu haiwatoshi? Hakuna machinga anaefata mzigo China ina maana walio import walilipa kodi stahiki mnataka nini tena.
4. Eti mandhari ya mji! We vipi? Mandhari yako nzuri ni ipi? Mandhari nzuri iko ngorongoro na serengeti, sisi hao machinga mamalishe ndio mandhari nzuri, na Kama kwako ni kero nenda mlimani City kanunue huko huku karakoram unafuata nini? Shenzi kabisa
Zao la Wanasiasa waliokuwa tayari kuona nchi inakuwa ya ovyo ovyo lakini wao wabaki madarakaniMachinga ni zao la wanasiasa uchwara