1. Wanakuzibia njia unaenda wapi? Hao wateja wanaonunua bidhaa za machinga wanapita wapi? Wewe ni Rais ukitaka kupita tukupishe njia?
2. Tangu machinga waruhusiwe umeshasikia kipindupindu dar? Huo usalama upi unaozungumzia?
3.kodi ipi halipi? Hizo tozo za miamala ya mpesa bado tu haiwatoshi? Hakuna machinga anaefata mzigo China ina maana walio import walilipa kodi stahiki mnataka nini tena.
4. Eti mandhari ya mji! We vipi? Mandhari yako nzuri ni ipi? Mandhari nzuri iko ngorongoro na serengeti, sisi hao machinga mamalishe ndio mandhari nzuri, na Kama kwako ni kero nenda mlimani City kanunue huko huku karakoram unafuata nini? Shenzi kabisa
acha zako mpumbavu wewe huna macho ukaona watu wanavyoteseka kwa kupita barabarani halafu unakuja kusapoti ujinga