Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kwa wasomaji wa Biblia wanaufahamu mstari kwenye Biblia unaosema "kwa maana jinsi hii mungu aliupenda Ulimwengu"
Wataalamu wa Lugha watakubaliana na mimi kwamba maneno au majina ya vitu hayahusiani na vitu vyenyewe. Kwa mfano Kiti, mti au nyumba si lazima maana iwe ile ile kwa lugha zote duniani, na ndiyo maana majina mengine ya Wajapani kwetu sisi ni matusi!!Kwa mintaraafu hiyo wewe ukisikia mtu anakwambia "NAKUPENDA" tafsiri yako kwa neno hilo huwa nini, yaani kwako kupendwa ni kupi? Ili mtu ujue anakupenda ni mpaka afanye nini ili ujiridhishe kwamba anakupenda?
NI SWALI TU WAPENDWA!!
Wataalamu wa Lugha watakubaliana na mimi kwamba maneno au majina ya vitu hayahusiani na vitu vyenyewe. Kwa mfano Kiti, mti au nyumba si lazima maana iwe ile ile kwa lugha zote duniani, na ndiyo maana majina mengine ya Wajapani kwetu sisi ni matusi!!Kwa mintaraafu hiyo wewe ukisikia mtu anakwambia "NAKUPENDA" tafsiri yako kwa neno hilo huwa nini, yaani kwako kupendwa ni kupi? Ili mtu ujue anakupenda ni mpaka afanye nini ili ujiridhishe kwamba anakupenda?
NI SWALI TU WAPENDWA!!