Huu uzi siyo mrefu. Nataka nikupe ukweli mchungu wewe mwanaume mwenzangu kwamba "Ukioa mwanamke mwenye makalio lazima uchapiwe labda kama huyo mwanamke anamwogopa Mungu".
Nakwambia hivyo kutokana na uzoefu wangu wa kimaisha, sehemu nilizoishi na kufanya kazi. Kwahiyo kama wewe una mpango wa kuoa makalio kama vijana wengi tulivyo basi hili ni jambo la kuzingatia sana.
Niwatakie mchana mwema!
Nakwambia hivyo kutokana na uzoefu wangu wa kimaisha, sehemu nilizoishi na kufanya kazi. Kwahiyo kama wewe una mpango wa kuoa makalio kama vijana wengi tulivyo basi hili ni jambo la kuzingatia sana.
Niwatakie mchana mwema!