Nakuomba leo moja tulale wote........

Nakuomba leo moja tulale wote........

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
614
Reaction score
322
Wakuuu habari zenu?

Natumai muwazima wa afya?

Si zamani sana niliweka ukumbini kua mke wa mtu ambaye alikua ni x wangu ananisumbua kwa kutaka tuwe wapenzi na kibaya sote tuko katika ndoa na familia pia mimi niko na watoto 2 yeye anao 4.

Ni muda wa nusu saa uliopita yaani ilikua ni saa mbili kasoro dakika 5 za usiku huu nimepokea simu kwa namba ngeni ikiniomba niilipie kwa kuwa yeye hana salio nilipuuza ila alipiga zaidi ya mara 3 nikaona ngoja nimpigie isijekua ni mame chanje (my wife) kupiga nakutana na sauti ya x wangu baada ya salamu aliniambia hivi "mahiri najua mke wako hayupo hii ni wiki ya tatu hadi leo nimeulizia nikaambiwa hajarudi nakuhitaji usiku wa leo saa 4 uje kwangu na jiandae kulala kwangu unipe kitu nilichokikosa kwa miaka kadhaa nakuomba usinikatalie japo kwa leo tuuu halafu ukiwa hutotaka kuendelea nami nitaheshimu maamuzi yako na kukuacha uishi salama na familia yako"

Ni kweli kabisa wife hayupo na hali hii ya mawingu inanipa shida sana na najua kua nae mume wake ameenda msibani hawezi kurudi kwa wiki hiii.

Akili inaniambia nipashe kiporo hichi ila najua kua nikipasha kiporo kitaniganda.
La zaidi ni kua namuogopa mungu nitamjibu nini siku tukikutana kwa kulala na mke wa mtu najua hata nijifiche vipi mungu ataniona.

Jamani ushauri wenu
 
Kumbe amri za Mungu unazifahamu tatizo lako ni kuzishika.¡!!!!
 
Nenda kamgonge ww huyo ni wako si unakumbushia tu. Ila usisahau K Y akikukuta mwenye mali
 
The Boss mi niko zanziba hali ya hewa ni ya baridi kiasi jumlisha na ukiwa wa wiki 3
 
Last edited by a moderator:
ebu jaribu kufikiria ndo mke wako anaenda kugegedwa saa nne hiyoo utajisikiaje. usichotaka kufanyiwa usimfanyie mwenzako.
 
UPDATE:

wakuu dakika 3 zilizopita yaani ilikua saa 3:07 amenipigia tena simu kutaka kujua kua nitaenda au laaa nimemuambia kua nimetoka na nitachelewa kurudi kaniambia hata nirudi saa 6 usiku basi niende na nisipoenda basi atajua yeye la kufanya

Yaani niko home kwangu nimeshajibwaga kitandani kupuuzia huu mchezo mchafu niombeeni nisikose ujasiri
 
Sasa kumbe unataka kuchepuka unaomba ushauri wa nini? Watu wengine bana, fuata moyo wako na dhamira yako inavokutuma
 
Ushadhamiria weye,Nenda kamalizie tu!!
 
Hebu sali, zima hiyo simu yako mwombe mungu akuepushe na mitego ya shetani, halafu usiwaze uzinzi kichwani mwako, vumilia mkeo atarudi tuu.
 
UPDATE:

wakuu dakika 3 zilizopita yaani ilikua saa 3:07 amenipigia tena simu kutaka kujua kua nitaenda au laaa nimemuambia kua nimetoka na nitachelewa kurudi kaniambia hata nirudi saa 6 usiku basi niende na nisipoenda basi atajua yeye la kufanya

Yaani niko home kwangu nimeshajibwaga kitandani kupuuzia huu mchezo mchafu niombeeni nisikose ujasiri
Lala nyumbani kwako usimpe sababu ya kukublackmail baadae. Usiku mwema.
 
KWA VYOVYOTE VILE ushamgonga
UNASAFISHA MOYO SABABU UNA GILTI

michepuko sio dili
ushamla kama uongo bisha
 
Hizi ndoa hizi, hizi ndoa....
hivi hamuwezi kuvituliza vidudu vyenu????
mke kasafiri wiki tu unawaza kufanya akiumwa mwezi je?
 
Hayo ni majaribu jitahid na ujipe moyo utashinda hiyo ni roho chafu ikemee ktk jina la YESU.
 
Kama unamuogopa Mungu unataka ushauri gani zaidi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hii insfanana na yule jamaa aliyekwenda mtafuta mke wa mtu Moro kisa zamani walikuwa wapenzi.

Mke wa mtu akamwambia jamaa mwaka wapili natumia ARV,sasa eti jamaa akalia kwa uchungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom