zamani kulikuwa hakuna kona baa....
Zamani ukisikia wimbo wa Taifa unaimbwa hata kwenye redio, utasimama kikakamavu na hakuna kutingishika hadi wimbo uishe.
Zamani bendara ya Taifa ikiwa inashushwa, afande hupiga filimbi na wote hata wapita njia husimama mpaka bendera ishushwe yote.
Nakumbuka zamani.............,zamani kwakweli ilikuwa raha sana na heshima tele,zamani
1.Marufuku kupita makaburini na ikitokea umepita basi ni mwendo wa haraka tena bila kuangalia nyuma wala kungea,lkn siku hizi makaburi yamegeuzwa gesti.
2.zamani mvua kama hizi zinazoendelea kunyesha Dar watu wako busy na kukinga maji na watoto kuoga kabisa,tena maji hayo yanakuwa salam kwa kunywa lkn siku hizi watu ni ma dispenser na maji ya chupa kwa sana.
3.Zamani mtu mzima akipita kwanza unampokea mzigo na kumfikishia kule aendako,lkn siku hizi watu wanawapiga mpaka vikumbo na salamu si lazima.
4.Zamani hasa kwetu Tv tulikuwa tunaangalia taharifa ya habari tu,au bada ya kumaliza kazi za shule tena jumamosi na jumapili tu,siku hizi watoto wanajua ratib zote za vipindi.
5.Zamani mgeni akifika kwako unampokea,anaingia ndani mnataniana hili na lile alafu salamu inafuata lakini siku hizi ukiskia hodi tu na salamu inatolewa hapo hapo utasema huyo mgeni haingii ndani.
6.Zamani hatukuangaika na vitafunio vya chai maana mihogo,viazi,magimbi vipolo vya ugali na wali asb ni kupasha na kula tu lkn siku hizi mara mkate ,sausage,mayai .
7.Zamani msiba unaheshimika lkn siku hizi msibani watu wamegeuza sehemu za kupata wachumba,kujipodoa na kuoneshana vitu tofauti tofauti.
8.Zamani hasa jioni nilipenda sana hadithi za bibi maana zilinifunza mambo mengi na ya kunijenga,hata michezo ya zamani hasa rede,kombolela,lakini sasa hakuna michezo hiyo.
NAJUA DUNIA YA SASA NI KIJIJI LKN KIJIJI HIKI MMMH WALA HAKIFANANI NA KILE CHA KWETU MAANA KIJIJINI KWETU WATU WALIISHI KWA UPENDO,AMANI NA UMOJA.
WEWE ZAMANI UNAKUMBUKA NINI?
Hapo kwenye red banaaaaaa! TV haikuwepo zamani zile!!!
- Mimi nakumbuka kulikuwa na matunda fulani tulikuwa tunayachuma kwenye miti fulani ya miiba tukiyaita mapumbu ya paka, yalikuwa matamu hayooo....acheni tu jamani zamanii!!
Zamani kwenye mpira tulikuwa tunashabikia timu kama LIPULI, TUKUYU STARS, MECCO, NYOTA NYEKUNDU, AFRICAN SPORTS lakini siku hizi watu mara MANCHESTER, ARSENAL, BARCELONA, CHELSEA
ah ah ah umenikumbusha jamaa mmoja alivaa chupi zile za VIP,wakati anacheza ghafla ikaachia mi niliona kitu kimeruka juu kama kishada
Zamani kwenye mpira tulikuwa tunashabikia timu kama LIPULI, TUKUYU STARS, MECCO, NYOTA NYEKUNDU, AFRICAN SPORTS lakini siku hizi watu mara MANCHESTER, ARSENAL, BARCELONA, CHELSEA
Nakumbuka zamani ukienda saloon unayoa nywele unatoa zako shilingi 500 umemaliza unaondoka zako, siku hizi mara scrubbing, sijui facial, mara black mara mask ukitoka hapo unalipa 10,000 au 15,000
mmmmh acha urongo sh 500 kwani ni zamani?zamani ni zama zile ukitaka kunyoa unaensa kwa mtu kakaa zake chini ya mti na redio ananyoa watu taratiiiibu
Nakumbuka zamani.............,zamani kwakweli ilikuwa raha sana na heshima tele,zamani
1.Marufuku kupita makaburini na ikitokea umepita basi ni mwendo wa haraka tena bila kuangalia nyuma wala kungea,lkn siku hizi makaburi yamegeuzwa gesti.
2.zamani mvua kama hizi zinazoendelea kunyesha Dar watu wako busy na kukinga maji na watoto kuoga kabisa,tena maji hayo yanakuwa salam kwa kunywa lkn siku hizi watu ni ma dispenser na maji ya chupa kwa sana.
3.Zamani mtu mzima akipita kwanza unampokea mzigo na kumfikishia kule aendako,lkn siku hizi watu wanawapiga mpaka vikumbo na salamu si lazima.
4.Zamani hasa kwetu Tv tulikuwa tunaangalia taharifa ya habari tu,au bada ya kumaliza kazi za shule tena jumamosi na jumapili tu,siku hizi watoto wanajua ratib zote za vipindi.
5.Zamani mgeni akifika kwako unampokea,anaingia ndani mnataniana hili na lile alafu salamu inafuata lakini siku hizi ukiskia hodi tu na salamu inatolewa hapo hapo utasema huyo mgeni haingii ndani.
6.Zamani hatukuangaika na vitafunio vya chai maana mihogo,viazi,magimbi vipolo vya ugali na wali asb ni kupasha na kula tu lkn siku hizi mara mkate ,sausage,mayai .
7.Zamani msiba unaheshimika lkn siku hizi msibani watu wamegeuza sehemu za kupata wachumba,kujipodoa na kuoneshana vitu tofauti tofauti.
8.Zamani hasa jioni nilipenda sana hadithi za bibi maana zilinifunza mambo mengi na ya kunijenga,hata michezo ya zamani hasa rede,kombolela,lakini sasa hakuna michezo hiyo.
NAJUA DUNIA YA SASA NI KIJIJI LKN KIJIJI HIKI MMMH WALA HAKIFANANI NA KILE CHA KWETU MAANA KIJIJINI KWETU WATU WALIISHI KWA UPENDO,AMANI NA UMOJA.
WEWE ZAMANI UNAKUMBUKA NINI?
Nakumbuka zamani.............,zamani kwakweli ilikuwa raha sana na heshima tele,zamani
1.Marufuku kupita makaburini na ikitokea umepita basi ni mwendo wa haraka tena bila kuangalia nyuma wala kungea,lkn siku hizi makaburi yamegeuzwa gesti.
2.zamani mvua kama hizi zinazoendelea kunyesha Dar watu wako busy na kukinga maji na watoto kuoga kabisa,tena maji hayo yanakuwa salam kwa kunywa lkn siku hizi watu ni ma dispenser na maji ya chupa kwa sana.
3.Zamani mtu mzima akipita kwanza unampokea mzigo na kumfikishia kule aendako,lkn siku hizi watu wanawapiga mpaka vikumbo na salamu si lazima.
4.Zamani hasa kwetu Tv tulikuwa tunaangalia taharifa ya habari tu,au bada ya kumaliza kazi za shule tena jumamosi na jumapili tu,siku hizi watoto wanajua ratib zote za vipindi.
5.Zamani mgeni akifika kwako unampokea,anaingia ndani mnataniana hili na lile alafu salamu inafuata lakini siku hizi ukiskia hodi tu na salamu inatolewa hapo hapo utasema huyo mgeni haingii ndani.
6.Zamani hatukuangaika na vitafunio vya chai maana mihogo,viazi,magimbi vipolo vya ugali na wali asb ni kupasha na kula tu lkn siku hizi mara mkate ,sausage,mayai .
7.Zamani msiba unaheshimika lkn siku hizi msibani watu wamegeuza sehemu za kupata wachumba,kujipodoa na kuoneshana vitu tofauti tofauti.
8.Zamani hasa jioni nilipenda sana hadithi za bibi maana zilinifunza mambo mengi na ya kunijenga,hata michezo ya zamani hasa rede,kombolela,lakini sasa hakuna michezo hiyo.
NAJUA DUNIA YA SASA NI KIJIJI LKN KIJIJI HIKI MMMH WALA HAKIFANANI NA KILE CHA KWETU MAANA KIJIJINI KWETU WATU WALIISHI KWA UPENDO,AMANI NA UMOJA.
WEWE ZAMANI UNAKUMBUKA NINI?