The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,163
Duuh..ningejitoa jfMngese sana!!
Duuh..ningejitoa jfMngese sana!!
Khaa! Mkuu mbavu zanguSikujua kama waliokuwa jirani waliweza kusikia au la. Sikuwa tena na sera. Yale yote niliyopangilia kumwambia ikiwa ni pamoja na kupangua hoja zake viliyeyuka. Nilimjibu tu kinyonge kuwa sawa nimemwelewa. Taratibu niligeuza na kuanza kuondoka. Sikumbuki kama nilitazama nyuma.
Nilikuwa nimechoka asubuhi ile. Niliingia bwenini na kujilaza deka ya chini.. Tangu muda huo sikujitambua tena. Sikumbuki kama nililala usingizi au nilizirai, au nilizama tu kwenye mawazo. Nachokumbuka nilikuwa nawaza ile scenario ilivyokuwa. Wapi nilikosea, kwa nini nilikosea, kwa nini sikuwa na subira, alimaanisha kweli? Na kadhalika nyingine.
Zimeshafunguliwa. Ada hamna!Shule zitafunguliwa lini jamani