Maswali mengi as if pochi yako ndogo!..ukiwa na pesa maswali hayo hayanaga nafasi!!..Chief umemaanisha nini
Kama swhwmu zingine ikiwa kutakuwa na lodge ya laki basi jua hata ya elfu 5 ipo.IPO ila kidogo vyumaa mkuu
Hahahahah utakula kwene mishikaki[emoji4] [emoji4] [emoji4] asante situmii
kwani umeenda kulewa huko!?..ukija amka umepakwa yai ugenini utamlaumu nani!?..Poch sio kubwa mkuu ni yakuniwezesha kupata mahitaji muhimu pamoja na bia