Nakuja huko huko...

Nakuja huko huko...

Kilahunja

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
1,500
Reaction score
344
Ngrrr ngrrr
Sauti: halow hapo makumbusho ya taifa
Ofisi: ndio, nikusaidieje?
Sauti: nlitaka unikumbushe saa yangu iliibiwa jana sasa nlitaka nijue, imeibiwa na nani, na iko wapi ?
Ofisi: mmxeeew pumbaav, sio kaz yetu!
Sauti: haaa, sasa nini kaz yenu?
Ofis: kuifadh kumbukumcu ya vitu vya zamani na vilivochakaa
Sauti: basi saa yangu mtakua nayo nyinyi, maana ilikua ya zaman na iliyochakaa, nakuja hukohuko kuichukua, mbarikiwe!
 
Chezea kichapo yeye, hapana tania mali ya umma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom