Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,827
Tumbo linaniuma sana tena zaidi ya sana, kama la kuharisha lakini siharishi.
Nimekuwa nikijisikia kwenda haja, lakini mara niingiapo maliwatoni hamna kitokacho, ni mimi na maumivu, naumia sana.
Nimekuwa nikijisikia kwenda haja, lakini mara niingiapo maliwatoni hamna kitokacho, ni mimi na maumivu, naumia sana.