Nakubaliana na Rais Samia kwamba masoko yaliyokosa Wapangaji yatafutiwe shughuli mbadala

Hakuna unachoongea hapa ndugu,wawahamishie mara ngapi? Walihamishwa na wakarudi tena na tena yamebakia magofu au wanahamia kwingine kwenye mzunguko nani aje sehemu haina pesa?

Hujui unachoongea kuna soko la machinga lilijengwa hapo Dar ,haoachinga walienda kulitumia?

Narudia ni upumbavu kutumia wanaolipwa mishahara eti ndio maafisa masoko ,watu ambao kwanza ni waoga wa biashara,hawana biashara yoyote na hata wakiwanayo inategemea favour za ajira zao,wakistaafu ni vilio maana hawana maarifa ya pesa wala mbinu za biashara..

Ni hivi ukitaka kujenga soko Jenga sehemu ambayo wafanyabiashara wenyewe wamependekeza na Kwa utaratibu utakaowekwa na wao..

Narudia tena masoko yote ya serikali yako tupu na yamejifia on top of that kuna mastendi ya mabilioni pia eti serikali inajenga gesti kaulize sasa kama hizo gesti zinafanya biashara..Huu ni upumbavu na Serikali ikome kutumia pesa za walipa kodi kufanya mamiradi yasiyo na maana.

Bora mama kaliona hilo,huu ujinga ulishamiri Sana awamu ya 5 huku mwendazake akifurahia kuzindua baada ya hapo yanabaki empty na useless na pesa imepotea.

Hata Musukuma mbunge aliwahi kuzungumzia huu upumbavu.
Ni ukosefu wa akili na upumbavu kuwa na assets halafu ukashindwa kuzitumia,wakati ww ni serikali.Inawezekwna kabisa kuweka marketing strategy ambazo zitawavutia customers kufika sokoni.Kwa MTU ambaye hana ,uelewa inakuwa ngumu kufanya.Mama Samia lazima kichwa chake kifanye kazi.Solo hata lipo ,bagamoyo,kama marketing strategy zikitumika ,watu watakwenda.Kushindwa kufanya hivyo ni uvivu mkubwa wa kufikiri.
 
Rais Samia wakati akiongea na viongozi wa Tamisemi amesema masoko mapya mengi hayana wafanyabiashara wa kutosha hasa yale ya ghorofa.

" Utakuta jengo la kuchukua watu 200 lina watu 30 tu na hasa yale yy ghorofa" amesema.

Rais ameshauri itafutwe shughuli mbadala kwenye majengo hayo zitakazoingizia halmashauri mapato kama kutumika kama kumbi za sherehe

Nakubaliana kabisa na wazo la mh Rais, masoko mapya mengi yapo tupu likiwemo la Mburahati na hata magomeni

Mungu ni mwema wakati wote!
Alafu Machinga wawatoe mjini wawaambie waende Chanika sio?
 
Mwenye maono amekaa miaka 6 hata kipande cha km 200 za sgr kimemshinda kaishia kujenga masoko ambaya hayatumiki na vistendi vya mabasi tuu..

Mwenye maono aliua uchumi hadi akaanza kupora wafanyabiashara hela,unakamua usipolisha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..

Mwenye maono aliua kilimo Cha aliowaita wanyonge na kuzalisha lundo la maskini kwa Jina la wanyonge na machinga huku akiwauzia vitambulisho,huo upumbavu tumeukomesha.Saizi bei za kila zao limepanda si pamba,mbaazi wala korosho .

Mwenye maono aliishia kuiba Til.1 baada ya kustukiwa akamziba mdomo CAG,mwenye maono alikwiba bil.600 za covid alizokopa na kupewa msaada hadi leo kaacha deni bila kujua matumizi,Mwenye maono maono zaidi ya utapeli na propaganda hakuna alichofanya cha maana..

Mwenye maono mil.50 kila kijiji ilimshinda Mwenzie ametoa mil.500 kila Jimbo na kuongeza bajeti mara 3 ya Tarura,kwa nini mwenye maono alishindwa? ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Ona hapa vyumba vya madarasa 15,000 ,vituo vya afya 250 ..mwenye maono ameawahi kuweka hii rekodi kwenye maono yake? ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

View attachment 1955924

View attachment 1955926
Unahangaika sana kumchafua marehemu aonekane hakufanya kitu. unachoshindwa kuelewa unashindanisha vitu vilivyofanyika na kuonekana kwa macho unatuletea vitu vya kwenye makaratasi kama ilivyokua awamu ya 4. JPM hamumuwezi hata mfanye nini, yule alikua ana akili ya ziada siyo akili za propaganda. Wafanyieni wananchi maendeleo acheni kelele na kebehi, hayo yote aliyofanya JPM yalikua kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM, sasa sijui kwanini kinawauma mtu kutekeleza ilani ya chama chake.

JPM aliamua kujenga masoko ya kisasa pamoja na stendi za kisasa ili twende na dunia inavyokwenda kwa kuzingatia mahitaji ya sasa na ya miaka ya baadae kwa kadri miji inavyokua na watu wanavyoongezeka. Kariakoo ilivyojengwa miaka ya 70 haikua na wafanyabiashara wengi kama ilivyo sasa amabapo hakuna pa kukanyaga mpaka wengine wanaweka bidhaa barabarani. Nyinyi kwa akili zenu fupi zilizojaa wivu na chuki mlitaka tuendelee kuwa na masoko ya magunia pale kisutu na magomeni na stendi zilizojaa tope na vumbi pale ubungo. yule jamaa mungu angemjalia uhai Tanzania yetu ingekua kama ulaya kwa miaka hii mitano iliyobakia. Ila kwasasa hatuna viongozi wenye maono, TUMEPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI mungu atusaidie huko tuendako.
 
Unahangaika sana kumchafua marehemu aonekane hakufanya kitu. unachoshindwa kuelewa unashindanisha vitu vilivyofanyika na kuonekana kwa macho unatuletea vitu vya kwenye makaratasi kama ilivyokua awamu ya 4. JPM hamumuwezi hata mfanye nini, yule alikua ana akili ya ziada siyo akili za propaganda. Wafanyieni wananchi maendeleo acheni kelele na kebehi, hayo yote aliyofanya JPM yalikua kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM, sasa sijui kwanini kinawauma mtu kutekeleza ilani ya chama chake.

JPM aliamua kujenga masoko ya kisasa pamoja na stendi za kisasa ili twende na dunia inavyokwenda kwa kuzingatia mahitaji ya sasa na ya miaka ya baadae kwa kadri miji inavyokua na watu wanavyoongezeka. Kariakoo ilivyojengwa miaka ya 70 haikua na wafanyabiashara wengi kama ilivyo sasa amabapo hakuna pa kukanyaga mpaka wengine wanaweka bidhaa barabarani. Nyinyi kwa akili zenu fupi zilizojaa wivu na chuki mlitaka tuendelee kuwa na masoko ya magunia pale kisutu na magomeni na stendi zilizojaa tope na vumbi pale ubungo. yule jamaa mungu angemjalia uhai Tanzania yetu ingekua kama ulaya kwa miaka hii mitano iliyobakia. Ila kwasasa hatuna viongozi wenye maono, TUMEPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI mungu atusaidie huko tuendako.
Sio aonekane kwani wewe unaona alifanya nini cha maana? Alikamilisha nini cha maana? Nimchafue Ili nifaidi nini? Naweka rekodi sawa..

Lazima upigwe na kitu kizito maana ulaji umekatwa kuweweseka na kutapatapa ni kawaida,na bado hadi ifike 2035 wewe na ukoo wako mtakuwa mshasahau mambo ya legacy mnakula shushu ya mama ..

Tunaongea kwa namba hatutaki upumbavu wa awamu ya 5 ๐Ÿ‘‡

Screenshot_20210927-075956.png


Screenshot_20210927-075641.png


Screenshot_20210926-071606.png


Screenshot_20210923-102207.png


Screenshot_20210923-102350.png


Screenshot_20210921-102138.png


Screenshot_20210920-080107.png
 
Rais Samia wakati akiongea na viongozi wa Tamisemi amesema masoko mapya mengi hayana wafanyabiashara wa kutosha hasa yale ya ghorofa.

" Utakuta jengo la kuchukua watu 200 lina watu 30 tu na hasa yale yy ghorofa" amesema.

Rais ameshauri itafutwe shughuli mbadala kwenye majengo hayo zitakazoingizia halmashauri mapato kama kutumika kama kumbi za sherehe

Nakubaliana kabisa na wazo la mh Rais, masoko mapya mengi yapo tupu likiwemo la Mburahati na hata magomeni

Mungu ni mwema wakati wote!
Tatizo ni la Planners wa miradi hiyo na wanasiasa.
Soko halitembelewi na kila mtu, lakini shoppers wanatembelea hata ghorofa ya 10.
 
Sio aonekane kwani wewe unaona alifanya nini cha maana? Alikamilisha nini cha maana? Nimchafue Ili nifaidi nini? Naweka rekodi sawa..

Lazima upigwe na kitu kizito maana ulaji umekatwa kuweweseka na kutapatapa ni kawaida,na bado hadi ifike 2035 wewe na ukoo wako mtakuwa mshasahau mambo ya legacy mnakula shushu ya mama ..

Tunaongea kwa namba hatutaki upumbavu wa awamu ya 5 ๐Ÿ‘‡

View attachment 1956168

View attachment 1956169

View attachment 1956170

View attachment 1956171

View attachment 1956172

View attachment 1956173

View attachment 1956174
Hivi huoni aibu kusema huoni alichofanya JPM au unajitoa akili? hii SGR, Ndege, Masoko na stendi za kisasa, Madaraja, Bwawa la Nyerere, Vituo vya Afya, Zahanati, Uchumi wa kati, mabarabara yenye viwango mpaka mitaani kafanya nani? au unajitoa ufahamu? Watu wanaongelea vitu vinavyoonekana, wewe unatuletea mambo ya kwenye makaratasi yale yale yaliyokua yanafanyika awamu ya 4. Hapa hatuongelei legacy ya mtu bali maendeleo yaliyofanyika na yanayoonekana kwa macho siyo propaganda zenu. Upigaji ulifanyika awamu ya 4 na tunaona mnavyojipanga kula tena awamu hii ya 6, mnapotosha mama kwa uvivu wenu wa kufikiri. Mpaka sasa nini kimefanyika zaidi ya chanjo na kuvaa barakoa. TUMEPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI mungu atusaidie.
 
Mwenye maono amekaa miaka 6 hata kipande cha km 200 za sgr kimemshinda kaishia kujenga masoko ambaya hayatumiki na vistendi vya mabasi tuu..

Mwenye maono aliua uchumi hadi akaanza kupora wafanyabiashara hela,unakamua usipolisha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..

Mwenye maono aliua kilimo Cha aliowaita wanyonge na kuzalisha lundo la maskini kwa Jina la wanyonge na machinga huku akiwauzia vitambulisho,huo upumbavu tumeukomesha.Saizi bei za kila zao limepanda si pamba,mbaazi wala korosho .

Mwenye maono aliishia kuiba Til.1 baada ya kustukiwa akamziba mdomo CAG,mwenye maono alikwiba bil.600 za covid alizokopa na kupewa msaada hadi leo kaacha deni bila kujua matumizi,Mwenye maono maono zaidi ya utapeli na propaganda hakuna alichofanya cha maana..

Mwenye maono mil.50 kila kijiji ilimshinda Mwenzie ametoa mil.500 kila Jimbo na kuongeza bajeti mara 3 ya Tarura,kwa nini mwenye maono alishindwa? ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Ona hapa vyumba vya madarasa 15,000 ,vituo vya afya 250 ..mwenye maono ameawahi kuweka hii rekodi kwenye maono yake? ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

View attachment 1955924

View attachment 1955926
Hizo ni story tu za mapambio! Been there done that!
 
Hivi huoni aibu kusema huoni alichofanya JPM au unajitoa akili? hii SGR, Ndege, Masoko na stendi za kisasa, Madaraja, Bwawa la Nyerere, Vituo vya Afya, Zahanati, Uchumi wa kati, mabarabara yenye viwango mpaka mitaani kafanya nani? au unajitoa ufahamu? Watu wanaongelea vitu vinavyoonekana, wewe unatuletea mambo ya kwenye makaratasi yale yale yaliyokua yanafanyika awamu ya 4. Hapa hatuongelei legacy ya mtu bali maendeleo yaliyofanyika na yanayoonekana kwa macho siyo propaganda zenu. Upigaji ulifanyika awamu ya 4 na tunaona mnavyojipanga kula tena awamu hii ya 6, mnapotosha mama kwa uvivu wenu wa kufikiri. Mpaka sasa nini kimefanyika zaidi ya chanjo na kuvaa barakoa. TUMEPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI mungu atusaidie.
Hahahahahah huyo mpumbavu anazingua sana, anadanganyika na story za kujipambisha kisiasa.

Vitendo vitaongea sio propoganda za kujipamba magazetini!
 
Ni ukosefu wa akili na upumbavu kuwa na assets halafu ukashindwa kuzitumia,wakati ww ni serikali.Inawezekwna kabisa kuweka marketing strategy ambazo zitawavutia customers kufika sokoni.Kwa MTU ambaye hana ,uelewa inakuwa ngumu kufanya.Mama Samia lazima kichwa chake kifanye kazi.Solo hata lipo ,bagamoyo,kama marketing strategy zikitumika ,watu watakwenda.Kushindwa kufanya hivyo ni uvivu mkubwa wa kufikiri.
Utajiuliza mbona City Mall ni ghorofani ila watu wanaenda pale vizuri tu ๐Ÿ˜…,,, ghorofa la shopperz plaza watu wanaenda na kuingia kama kawaida tu ๐Ÿ˜… haya pale China Plaza napo watu wanaingia full time kuna maduka kibao ya simu!

Nini kinafanya watu washindwe kujaa kwenye maghorofa yao hawa serikali! Ya soko kama lile magomeni ni bonge la dude! Pale Mbezi mwisho terminal napo juu hamna watu ๐Ÿ˜…???

Ni swala la mikakati na usimamizi bora tu!
 
Rais Samia wakati akiongea na viongozi wa Tamisemi amesema masoko mapya mengi hayana wafanyabiashara wa kutosha hasa yale ya ghorofa.

" Utakuta jengo la kuchukua watu 200 lina watu 30 tu na hasa yale yy ghorofa" amesema.

Rais ameshauri itafutwe shughuli mbadala kwenye majengo hayo zitakazoingizia halmashauri mapato kama kutumika kama kumbi za sherehe

Nakubaliana kabisa na wazo la mh Rais, masoko mapya mengi yapo tupu likiwemo la Mburahati na hata magomeni

Mungu ni mwema wakati wote!
Ni vyema ikawa hivyo (BUT) gharama za kupangisha ziwe rafiki kulingana na uhitaji katika eneo husika.
 
Mimi naona tatizo ya baadhi ya masoko yapo lokesheni nzuri sana kama la magomeni na kisutu, labda tatizo ni magorofa wananchi hawajazoea kupanda kwenye magorofa
 
Kila siku nawaambia wanaotegemea salaries hawawezi kuleta kitu chenye tija kwenye ishu za kibiashara.

Wanaotakiwa kupendeleza wapi pawe soko ni wafanyabiashara sio watumishi..

Hasara kama hizo zilifanyika Sana awamu ya 5 masoko ya magorofa na ma stand makubwa.ya magorofa yametumia mabilioni ya fedha afu yako empty ,huu ni upumbavu.
Ukienda Njombe ndio utajionea maajabu,limejengwa Soko kubwa na zuri la Mabilioni ya fedha lakini halina Wafanyabiashara kabisa,cha kushangaza mtaa wa pili kuna machinga kibao wamepanga bidhaa za malaki njiani.
 
Back
Top Bottom