Nakubaliana na Rais Samia kwamba masoko yaliyokosa Wapangaji yatafutiwe shughuli mbadala

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,870
Rais Samia wakati akiongea na viongozi wa Tamisemi amesema masoko mapya mengi hayana wafanyabiashara wa kutosha hasa yale ya ghorofa.

" Utakuta jengo la kuchukua watu 200 lina watu 30 tu na hasa yale yy ghorofa" amesema.

Rais ameshauri itafutwe shughuli mbadala kwenye majengo hayo zitakazoingizia halmashauri mapato kama kutumika kama kumbi za sherehe

Nakubaliana kabisa na wazo la mh Rais, masoko mapya mengi yapo tupu likiwemo la Mburahati na hata magomeni

Mungu ni mwema wakati wote!
 
Kila siku nawaambia wanaotegemea salaries hawawezi kuleta kitu chenye tija kwenye ishu za kibiashara.

Wanaotakiwa kupendeleza wapi pawe soko ni wafanyabiashara sio watumishi..

Hasara kama hizo zilifanyika Sana awamu ya 5 masoko ya magorofa na ma stand makubwa.ya magorofa yametumia mabilioni ya fedha afu yako empty ,huu ni upumbavu.
 
Kila siku nawaambia wanaotegemea salaries hawawezi kuleta kitu chenye tija kwenye ishu za kibiashara.

Wanaotakiwa kupendeleza wapi pawe soko ni wafanyabiashara sio watumishi..

Hasara kama hizo zilifanyika Sana awamu ya 5 masoko ya magorofa na ma stand makubwa.ya magorofa yametumia mabilioni ya fedha afu yako empty ,huu ni upumbavu.
Shida ya serikali kuwa na tamaa ya kufanya vitu ambavyo vingefanywa na private entities!!!!
 
Ukiacha Mburahati, na Magomeni, Kinondoni nao wamerudia yaleyale Soko la Tandale, kuna Machinga Complex, bado kuna mradi mwingine mkubwa Mkoa fulani wanataka kujenga mijengo ya aina hiyo.

Kuna lile la Ndugai Dodoma nk

Masoko haya hayana tija kwa sababu Kuu mbili; yapo sehemu ambazo hayahitajiki, na yamejengwa Mfumo wa ghorofa
 
Rais Samia wakati akiongea na viongozi wa Tamisemi amesema masoko mapya mengi hayana wafanyabiashara wa kutosha hasa yale ya ghorofa.

" Utakuta jengo la kuchukua watu 200 lina watu 30 tu na hasa yale yy ghorofa" amesema.

Rais ameshauri itafutwe shughuli mbadala kwenye majengo hayo zitakazoingizia halmashauri mapato kama kutumika kama kumbi za sherehe

Nakubaliana kabisa na wazo la mh Rais, masoko mapya mengi yapo tupu likiwemo la Mburahati na hata magomeni

Mungu ni mwema wakati wote!
Namkumbusha Mh. Rais kuwa na Ofisi nyingi huku Dar hazitumiki baada ya kuhamia Dodoma, ni wakati sasa nazo zitafutiwe Mbadala ili kuingizia serikali mapato. Mfano ofisi zilizo karibu na Vyuo ninaweza temporarily kuwa kuwa hostel kwa wanafunzi wa vyuo husika kwa makubaliano yenye tija both sides.
 
Kila siku nawaambia wanaotegemea salaries hawawezi kuleta kitu chenye tija kwenye ishu za kibiashara.

Wanaotakiwa kupendeleza wapi pawe soko ni wafanyabiashara sio watumishi..

Hasara kama hizo zilifanyika Sana awamu ya 5 masoko ya magorofa na ma stand makubwa.ya magorofa yametumia mabilioni ya fedha afu yako empty ,huu ni upumbavu.
Mwenye maono alikuwa anaona fursa kila kona but hayupo sasa. Wengi wa viongozi tulionao ni vipofu wa fikra na kipofu akiongoza kipofu wote hutumbukia shimoni..
 
Namkumbusha Mh. Rais kuwa na Ofisi nyingi huku Dar hazitumiki baada ya kuhamia Dodoma, ni wakati sasa nazo zitafutiwe Mbadala ili kuingizia serikali mapato. Mfano ofisi zilizo karibu na Vyuo ninaweza temporarily kuwa kuwa hostel kwa wanafunzi wa vyuo husika kwa makubaliano yenye tija both sides.
hostel kwa wanafunzi hazitalipa,waweke apartiment za watu kuishi watapiga pesa nyingi sana,chukulia mfano jengo la ilipokuwa wizara ya ardhi mahali zilipo
 
Kila siku nawaambia wanaotegemea salaries hawawezi kuleta kitu chenye tija kwenye ishu za kibiashara.

Wanaotakiwa kupendeleza wapi pawe soko ni wafanyabiashara sio watumishi..

Hasara kama hizo zilifanyika Sana awamu ya 5 masoko ya magorofa na ma stand makubwa.ya magorofa yametumia mabilioni ya fedha afu yako empty ,huu ni upumbavu.
Kweli kabisa utakuwa mtu yupo ofisini anadegree yake ya mambo ya masoko huyu akikaa ofisini na peni akabuni kitu haliwezi kuwa wazo halisia,wawachukua wafanyabishara wakae nao chini watafakari basi kila kitu kitakaa sawa
 
Back
Top Bottom