Ni wa kawaida, huwa nazifanya lama mwili mwingineMwili wako ni wa mafuta na hizo sehemu huwa unazipaka mafuta?
-Ndumilakuwili-
😂😂Hilo sio tatizo, na kushauli usiwaze mpaka ukakosa amani, fanya kama fanyeni ya kipekee uliyonayo peke ako
Sent using Jamii Forums mobile app