kindikinyer leborosier
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 497
- 951
idumu MMU.. idumu jamii forum! vidumu vizazi vya MMU!
.
.
'nakitrok kaanabo' ni maneno ya kimasai yanayotumiwa na mwanaume na mwanamke aghalabu wa rika moja, wanaoweza kutoka kimapenzi!
.
.
tafsiri yake huwezi kuitoa kwa tafsiri ya moja kwa moja kwani nakitrok maana yake 'mwanamke' kaanabo maana yake 'kipi kimoja'..
.
.
lakini kwa tafsiri halisi unaweza kusema ni we 'mwanamke vipi?' 'niaje? (kwa tafsiri ya ki mtaa)'
.
.
sasa niende moja kwa moja kwenye uzi wangu! hasa wa mabint wenye umri mdogo 2000+ kudate na watu wazima wenye wake zao! hivi ni kipi kinachosababisha watoto wenye umri mdogo waone wanaweza cheza ligi kuu sawa na mama zao?
.
.
unaweza kukuta binti mdogo wa 2000+ anachokiongea na anaelingana na baba yake ni utumbo wa kuku usiochomwa wala kuchemshwa!
.
.
mabinti 'kaanabo' hutamkwa kwa watu wa rika moja, ipo ladha ya mapenz kwa kuyaanza katika rika lako na kwa muda muafaka (kina mama waambieni wanenu).
.
.
vijana wetu wa kiume huko sekondari wamekuwa manyonge sana ndo maana wanakuwa mashoga, wakiangalia jacky anatoka na dereva wa bodaboda jitu la miraba minne, tena mwenye mke wake, akiulizwa anachojibu, kinachokuuma nini?
.
.
hayo si mapenzi.. ipo ladha ya kuandikiana vibarua, sijui vimemo sijui usiku mwema mama anachukua simu yake usinijibu, hio ni level ya chini kila mtoto wa kike apitie.. vinginevyo hakuna mapenzi halisi!
.
.
najua hawamo humu, waambieni kuna wakati mwingine wanaume hua wanajaribu, huyu mtoto anaingilika? kidogo tuu ushazama, na madawa kibaao ya kuzuia mimba (wanajua vitu kuwazid hata mama zao)😂😂 ripoti ya kusikitisha wanamiliki mapango kuliko hata wenye watoto wawili.. [nimeyapata kwa wenye uthubutu mimi 30 hua naiogopa sana sana!]
.
.
RAI: kina mama wafunzeni wanenu, watoe heshima zao kwa kaka na baba zao! mapenzi wayaanze katika mfumo wa 'nakitrok kaanabo'
.
.
uzi tayari
.
.
'nakitrok kaanabo' ni maneno ya kimasai yanayotumiwa na mwanaume na mwanamke aghalabu wa rika moja, wanaoweza kutoka kimapenzi!
.
.
tafsiri yake huwezi kuitoa kwa tafsiri ya moja kwa moja kwani nakitrok maana yake 'mwanamke' kaanabo maana yake 'kipi kimoja'..
.
.
lakini kwa tafsiri halisi unaweza kusema ni we 'mwanamke vipi?' 'niaje? (kwa tafsiri ya ki mtaa)'
.
.
sasa niende moja kwa moja kwenye uzi wangu! hasa wa mabint wenye umri mdogo 2000+ kudate na watu wazima wenye wake zao! hivi ni kipi kinachosababisha watoto wenye umri mdogo waone wanaweza cheza ligi kuu sawa na mama zao?
.
.
unaweza kukuta binti mdogo wa 2000+ anachokiongea na anaelingana na baba yake ni utumbo wa kuku usiochomwa wala kuchemshwa!
.
.
mabinti 'kaanabo' hutamkwa kwa watu wa rika moja, ipo ladha ya mapenz kwa kuyaanza katika rika lako na kwa muda muafaka (kina mama waambieni wanenu).
.
.
vijana wetu wa kiume huko sekondari wamekuwa manyonge sana ndo maana wanakuwa mashoga, wakiangalia jacky anatoka na dereva wa bodaboda jitu la miraba minne, tena mwenye mke wake, akiulizwa anachojibu, kinachokuuma nini?
.
.
hayo si mapenzi.. ipo ladha ya kuandikiana vibarua, sijui vimemo sijui usiku mwema mama anachukua simu yake usinijibu, hio ni level ya chini kila mtoto wa kike apitie.. vinginevyo hakuna mapenzi halisi!
.
.
najua hawamo humu, waambieni kuna wakati mwingine wanaume hua wanajaribu, huyu mtoto anaingilika? kidogo tuu ushazama, na madawa kibaao ya kuzuia mimba (wanajua vitu kuwazid hata mama zao)😂😂 ripoti ya kusikitisha wanamiliki mapango kuliko hata wenye watoto wawili.. [nimeyapata kwa wenye uthubutu mimi 30 hua naiogopa sana sana!]
.
.
RAI: kina mama wafunzeni wanenu, watoe heshima zao kwa kaka na baba zao! mapenzi wayaanze katika mfumo wa 'nakitrok kaanabo'
.
.
uzi tayari