Waache u.puuzi wao na fikra za "jf yetu zamani...." Hiyo zamani mlikuwa mnajadili nini ambacho ni tofauti na haya tunayojadili leo? Hii dhana huwa naipinga sana, kuna misemo kama " hivi vitoto vya facebook vinaharibu jukwaa",
most of the time nyie mnaojiita "vikongwe" ndio mnaharibu nyuzi kwa kuanzisha story zenu tofauti na mada.
Aaah mkubwa huwa hakosei bhana...hata wakiraribu wao si ndio wenye jeiefu yao bhana???
Waache u.puuzi wao na fikra za "jf yetu zamani...." Hiyo zamani mlikuwa mnajadili nini ambacho ni tofauti na haya tunayojadili leo? Hii dhana huwa naipinga sana, kuna misemo kama " hivi vitoto vya facebook vinaharibu jukwaa",
most of the time nyie mnaojiita "vikongwe" ndio mnaharibu nyuzi kwa kuanzisha story zenu tofauti na mada.
Hata najua basi...??? Mi mwenyewe najihesabia mgeni maana sijamaliza hata miaka mitatu toka nijiunge
ladyfurahia hako ka avatar kako kama ni wewe walah umzuri.
kwani hukuniona kule ocean road hospital? au ndo walewalee tunaowazungumzia mjengoni hapa
Sijaelewa kabisa hebu ngoja nipitie comments may be naweza pata kitu
Hujajibu...
sasa ladyfurahia tufanyeje ili hao wanaoingia siku hizi wasifanye wanavofanya? tuwakataze kuja JamiiForums? sasa JamiiForums ni kwa ajili ya nani? tukiendelea kuwabeza hivo si wataona jukwaa limekuwa shubiri?
tuwaelilishe jamani sio wakongwe kuwabeza wageni kihivoo..
imagine jf ingekuwa ya wale waliojiunga 2006 tu,, tungeweza kupata elimu tunayopata hapa?
SERIOUSLY kuna viumbe vinakera lakini tujitahidi sana kujizuia kutoa hoja kwa kupitia mgongo wa HAWA WAGENI.. sio fresh..
wako wanawake visebengo humu jf as mwenye uzi!!! Tatizo lenu mnajifanya ndio wenye jf kumbe ni suala fikra na mitazamo yenu ya kizamani mna hulka ya za kinazi, mna hofu gani kama watu wanatoa maoni yao!!! wako free kumuani mtu yeyote , nyie mmekuwa vigogo wa kutoa maoni kikandamiza wengine!!! ladyfurahia kajipange upya , badili mtazamo na fikra zako za kizamani huwezi fanya ujinga watu wakufumba macho!!! " watu huwasha taa nakuweka juu ya kinara si chini ya kitanda" ref injili ya luka. nasiwasilisha
Becoming a great thinker is not easy! Sometimes unaweza kuambulia matusi kwa kuwa tu mtu hajaipenda post yako au uko tofauti na kile anachokiamini
Watumie PM kama wanakukera...
Quoting our names to ya 'mchapo' thread won't help nothing...
Mbona hujawataja kwa id zao, au hao uliowataja ndo wanakukera. Hapa Jf watu wanapata umaarufu kwa kuwa-mention tu majina hakuna lolote.
Kibandiko kidogo tu ooh mara Cc ....
Samahani kama nimekuudhi.