Nakelwaaaaa jamani,.

Nakelwaaaaa jamani,.

integralboy

Member
Joined
Jun 30, 2012
Posts
10
Reaction score
2
Jamani mi nakelwa na huyu mtu anaeitwa MWIGULU MNCHEMBA, Huyu jamaa ni kabila gani kwani?

Ananikela jamani, Kwanini anajidai namna hii huyu jamaa yupo tayali kuwatukana wezake bila hata kujali wala kukemewa

Hivi huyu jamaa akiwa prof, itakuwaje ana shahada tu hapo ni taabu hatuna raha,Kusema kweli mimi akisimama tu huwa nazima TV, Maana naogopa ataniaribia tu siku,

Au wanajamii mnasemaje?
 
Sasa kabila linakujaje, kama kakukera ni yeye na ubinafsi wake,sio kabila zima.
 
Jamani mi nakelwa na huyu mtu anaeitwa MWIGULU MNCHEMBA, Huyu jamaa ni kabila gani kwani?

Ananikela jamani, Kwanini anajidai namna hii huyu jamaa yupo tayali kuwatukana wezake bila hata kujali wala kukemewa

Hivi huyu jamaa akiwa prof, itakuwaje ana shahada tu hapo ni taabu hatuna raha,Kusema kweli mimi akisimama tu huwa nazima TV, Maana naogopa ataniaribia tu siku,

Au wanajamii mnasemaje?
Hatusemi kitu
 
Jamani mi nakelwa na huyu mtu anaeitwa MWIGULU MNCHEMBA, Huyu jamaa ni kabila gani kwani?

Ananikela jamani, Kwanini anajidai namna hii huyu jamaa yupo tayali kuwatukana wezake bila hata kujali wala kukemewa

Hivi huyu jamaa akiwa prof, itakuwaje ana shahada tu hapo ni taabu hatuna raha,Kusema kweli mimi akisimama tu huwa nazima TV, Maana naogopa ataniaribia tu siku,

Au wanajamii mnasemaje?
hilo ni nchemba, bonge la kilaza,cjui alipataje ubunge.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom