manyarakwetu
Member
- May 24, 2021
- 7
- 2
Ni zipi dalili za mawe katika Figo?Mkuu, hii kitaalamu imekaaje
Kipimo hua hakina mda wa ziada?
Ni zipi dalili za mawe katika Figo?Mkuu, hii kitaalamu imekaaje
Kipimo hua hakina mda wa ziada?
Muda wa ziada unakuwepo hata kwenye dawa ila effectivenes au ubora unapungua..Mkuu, hii kitaalamu imekaaje
Kipimo hua hakina mda wa ziada?
Thanks mkuu.Muda wa ziada unakuwepo hata kwenye dawa ila effectivenes au ubora unapungua..
Sijui kama linatumika kwenye kuongeza nguvu za kiume ila najua ni dawa ya kienyeji ya kuongeza damu ( ndivyo nilivyoona wakitumia nyumban)Ndugu wana jfm naombaa msaada wakujua hili dude linatumikaje kwenye masuala ya nguvu za kiumee kwa anaejua tafadhal natanguliza shukraniiView attachment 2027687
Na huo ukubwa linaongeza kwa namna gani kula au kuchemshaaaSijui kama linatumika kwenye kuongeza nguvu za kiume ila najua ni dawa ya kienyeji ya kuongeza damu ( ndivyo nilivyoona wakitumia nyumban)
Pia nasikia linatumika kuongeza ukubwa wa uume likiwa bado halija vunwa (yan likiwa bado kwenye mti ninakuwa )
Yan sijaelewa linatumikaje kukuzaa uumeNa huo ukubwa linaongeza kwa namna gani kula au kuchemshaaa
Unapanda juu ya mti unapima uume na hilo tunda (lazma vilingane kwanza) then unachanja uume na hilo tunda alafu usikilizia sasa kadri linavyozidi kukua ndivyo na ww uume unavyozid kuongezeka ikifikia kipimo unachotaka unaenda kulikata ili uume usiongezeke zaidi (kumbuka kuliwekea alama ili usije lisahau)Yan sijaelewa linatumikaje kukuzaa uume
Mhh atar kwelii na unakua sasaUnapanda juu ya mti unapima uume na hilo tunda (lazma vilingane kwanza) then unachanja uume na hilo tunda alafu usikilizia sasa kadri linavyozidi kukua ndivyo na ww uume unavyozid kuongezeka ikifikia kipimo unachotaka unaenda kulikata ili uume usiongezeke zaidi (kumbuka kuliwekea alama ili usije lisahau)
Hvyo ndivyo niliambiwa. Ila ss tulikuwa tunalitumia kwaajiri ya kuongeza damu tu
Wanasema unakua kwel mm sijawai jaribu nimeridhika na hali yanguMhh atar kwelii na unakua sasa
Mhh ebu tusubir mwenginee atuambieeWanasema unakua kwel mm sijawai jaribu nimeridhika na hali yangu
Rwekaxa mambo vipi, ulipata tiba juu suala lako, kama ndio tafadhali naomba tuwasilianae.ninatatizo kama Hilo, na nimehangaika mno kupata tiba nimependa hospitali zote, na hata kutumia ma Dr WA India na USA,lakini sijapona, 0713 33 6998.Abari Dr...kuna miaka kama kumi imepita nilienda kunyoa nywele sehem baada ya hapo nkaanza kupata viupele kichwan yaan vinakuwa na majimaji iv vinakauka alafu vinarudi ...mpaka sasa bado vinasumbua afu cha kushangaza vinatokea sehem fulan mfano sehem za mbele za kichwa sehem nyingne havipo kabsa..je nitumie dawa gani... Ahsante
Dah kidney cyst pekee? Hebu fafanua vizr mkuuNini tiba ya kidney cyst, nimepimwa na wamegundua kuwa nina kidney cyst kwenye figo ya kushoto( 2.9cmx2.5xm).Wakati mwingine nasikia maumivu makali.
Nitashukuru.