Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,668
- Thread starter
- #781
Tumia WHITENING EYE DROPS!!Naomba kujuzwa nitumie dawa gani ili macho yangu (white layer) yawe meupe, situmii sigara wala kilevi chochote,
Tumia WHITENING EYE DROPS!!Naomba kujuzwa nitumie dawa gani ili macho yangu (white layer) yawe meupe, situmii sigara wala kilevi chochote,
Burning tongue syndrome/idiopathic glossopyrosisHili tatizo la kuwa na kama michubuko kwenye ulimi (kuwa/kuhisi na kama muwasho flani wakati wa kula hasa dagaa) sababu yake ni ipi na tiba ni ipi? With thanks giving heart
Burning tongue syndrome/idiopathic glossopyrosis
ndio tatizo ulilokuwa nalo,unajua chanzo cha tatizo lako ni vyema ukiepuka kula dagaa.Ingelikuwa hujui chanzo cha tatizo lako ningelisema linaweza kusababishwa na vitu vingine kama upungufu wa Vitamin B na madini ya chuma mwilini,Ukavu kwenye mdomo kutokana na matumizi ya baadhi ya dawa,inflammation kwenye ulimi,allergic reaction ya baadhi ya vyakula,hormones unbalance n.k
Hellow alec4ril,
Una tatizo linaitwa "tinnitus",ni kusikia kwa sauti zenye milio tofauti kwenye sikio bila ya kuhallucinate.Hizo sauti zinaweza kuwa na intensity tofauti na zipo tofauti kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwengine.Huu si ugonjwa bali ni dalili ya vitu tofauti kama mwanzo wa kupoteza uwezo wako wa kusikia,una majeraha kwenye sikio au hauna msukumo mzuri wa damu kwenye eneo la ndani la sikio.Kama tatizo lako lipo zaidi ya miezi 6 ni "chronic tinnitus" ambayo inasababishwa na majeraha ndani ya sikio ambayo hupelekea kupoteza uwezo wako wa kusikia.Nakushauri ukaonane na specialist wa sikio ili igunulike chanzo cha hili tatizo lako ili upate tiba sahihi/ushauri nasaha.Kila la kheri.
Kuna tiba tofauti za psoriasis mkuu inategemea una psoriasis ya wapi kichwani,mwilini....
- VITAMIN D[SUB]3 [/SUB]ANALOGUES (CALPOSITROL na CALSITRIOL)
- ANTRACEN DERIVATIVES(ditranol)
- RETIONOIDS(Acitretin)
- PUVA-THERAPY
- GLUCOCORTIOCOIDS
Ndugu jamaa zangu,
Kwanza kabisa niseme kwamba mm sio daktar
wala si mfanyabiashara wa madawa na
sijawahi fanya hivyo wala kufikiri kufanya hivyo.
Lakini nimeamua kuleta hii ishu hapa kwa
manufaa ya watu wenye tatizo na uhitaji wa
hiki nitacho kieleza, almost FREE!!
Nilivokua chuo kuna room mate wangu mmoja
alitoswa na mabinti kama 5 hivi. Mm na
wenzangu hatukujua n kw nn jamaa alikua
akitoswa na kila binti.
siku moja yule jamaa alinifungukia kwamba
anatatizo la UUME WAKE KUWA MDOGO SANA
HATA UKISIMAMA na HANA NGUVU ZA KIUME.
yaan akianza tu kumchezea binti, akiingiza tu
bac anamwaga! Kwakweli nilimuonea huruma
na aliponionesha maumbile yake nlishangaa
kuona udogo ule.
Ndipo nlikumbuka kuwa kule ziwa nyasa
nlikokulia kwa mjomba, nliwahi ckia watu
wanasema kuna mzizi mmoja hiv watoto
hatutakiwi kula kwan tutakua na uume mkubwa
sana. Ilikua n miaka ya nyuma sana enzi hizo
nikiwa darasa la pili.
Kutokana na kuona tatizo la huyu jamaa
niliwaza kama ile mizizi bado itakuwepo? Na
kama ipo nitaendaje nikachimbe?
Mwez wa pili mwaka huu kulitoke a mcba kule
nyasa na nlilazimika kwenda kuwakilisha familia
kwan n mm tu ndo nlikua cpo shule. Nlivofika
kule nlikuta ile mizizi ipo japo kwa uchache
sana kwan milima mingi imepukutika. Kwa siri
nilichimba na kuweka kwenyebegi kiasi kdogo
cha ile mizizi. ckutaka kuonekana maana watu
wangenihic vbaya.
Wakati narud nlivofika Njombe nlimpigia jamaa
yule ambaye alikua mbeya na tukakutana
makambako ambapo nilimpa na kumwelekeza
matumizi kuwa atafune kila cku anavolala.
Huwezi amini kilichotokea. Baada ya siku kama
24 hv kupita jamaa alinipigia na kusema
ameona maajabu ya ile dawa kwan kle ki shaft
kimeongezeka kama inch 2 na nusu hiv, na
imejaa na inanguvu.
Nilimkataza kuendelea kutafuna maana hatuna
kipimo cha dawa ili isije ikazidi. nilimwambia
aache ili ile aliyotafuna iendelee kufanya kazi.
Lakini mpaka juzi nimekutana nae, yaan kanizidi
hata mm na anasema yuko fit kabisa na kanipa
elf 16 kunishukuru, na vile vimizizi bado
amebakinavyo vingine.
Sasa, nimeamua kusaidia watu wenyeshida
kama hizo for FREE kwan mizizi tumepewa na
Mola bure. Kama unatatizo la nguvu za kiume,
uume mdogo na mwembamba au shida
nyingine, Just ni PM nitakupa maelekezo.
Usihangaike kwa matapeli maana hata yule
jamaa alihangaika sana tu na kupoteza hela
nyingi bila kufanikiwa.
MIMI SIIUZI HII DAWA. ILA INAPATIKANA
MBALI. NI HUKO MANDA ZIWA NYASA. SO,
TUTACHANGIANA TU KIASI KIDOGO SANA
KWAAJILI YA NAULI ILI NIKIPATA NAFASI
NIENDE NIKACHIMBE.
PIA NINA WAZO LA KUIHIFADHI ILE MIMEA
KWANI INAPOTEA. IKIWEZEKANA,
TUSHIRIKIANE KUIHIFADHI HATA KWA
KUIOTESHA HUKO MAPORINI ILI IENDELEE
KUWEPO. NITAFURAHI IWAPO MTANIUNGA
MKONO!
AHSANTENI
Nitafute kwa namba 0655951332 nikupe aelekezo.