nakaribia kupata baby, msaada plz..

jamani nashukuru wote kwa ushauri mzuri yaani nimefarijika sana sana, mmenipa imani ya kusimamia ili nipambane na huyu ibilisi wa uoga, maana ananionea sana, nitafanya maombi sana na mungu atanisaidia kujifungua salama, pia nahitaji maombi yenu nyote..

P,DIDY , asante umenifanya nijenge imani kubwa sana kwa kusimama katika maombi, mungu akubariki sana usisahau kuniombea plz plz, nayahitaji sana maombi yako, usisahau kuniombea...

mbarikiwe wote kwa kunitia moyo...
 
...Pole sana BLISS. Ni kawaida kuwa na hofu hamna mtu anayepata a painfull experience halafu akatamin ijirudie (tazama watoto wanapoungua na chai, uji, moto utotoni; hawataki kucheza tena na moto).

Ushauri wangu:-
1. Sijui kama walikuwa why you had the tear (kuchanika)na je ulichanika kwa kiasi gani (ziko aina tatu za kuchanika- 1st to 3rd degree tear) . Je ulichanika spontaneusly au ilikuwa baada ya kuongezewa njia? Majibu ya maswali haya, hasa hili la degree ni muhimu kukushauri zaidi

2. mara nyingi kuchanika kunachangiwa pamoja na mambo mengine, kukosa msaada kutoka kwa mkunga(midwife) Kwa kawaida wanatakiwa wakusaidie ku support perinium (msamba) inasaidia kuzuia kuchanika.

3. Unachotakiwa kufanya sasa ni kuanza mazungumzo mapema na daktari wako, jitayarisha mapema mf. utazalia wapi, je kuna daktari maalum n.k . Ni vigumu kukuambia nini kitatokea kwa sasa unless umejibu swali la kwanza hapo juu
 
vilevile kama hujakaribia sana, usimfukuza mzee, mwambie asaidie kutengeneza njia....this is the reality....wanawake wakikaa muda mrefu bila kufanya mapenzi uchi unakuwa unarudi kujibana, akiwa anakutembelea mara kwa mara au hata kukufinger kiaina fulani hivi, ni maandalizi tosha.

Namfahamu dada mmoja hivi alipata ujauzito shule ya secondary, alipopata tu hadi kujifungua hakufanya mapenzi, alichika sana akashonwa wakati wa kujifungua...kufanya mapenzi wakati wa mimbani muhimu sana...acha tu kama wiki tatu zimebaki kujifungua...siku zingine hizo hata kama hupendi jitahidi mzee akutembelee kwa style nzuri na awe anakusugua kwa kuutanua, ingiza muhugo na vidole pamoja...etc

Ili kufanya mlango uwe umezoea kutanukatanuka sana...mazoezi ya kurudika k hayo mtayafanya baada ya siku arobaini ukijifungua. samahani kuongea moja kwa moja...ila ukiuliza shangazi zako au bibi yako atakwambia hivihivi.
 
Usiwe na hofu, kuwa na imani utazaa salama, mtangulize Mungu nayee hatakuacha,kwani kila kitu kinawezekana kwake.
 
MZIMKU,
Kwakweli degree ya kuchanika sijui ni kiasi gani but najua tu walinishona ndani na nje,

swali lako la pili,
mtoto alipotoka ndio alipasua njia na sio mkunga kuichana,
sijui kama nimeeleweka..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom