Mbishi 4 real
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 640
- 655
Kiiiiiila siku yeye ni mizinga tu mara hivi kesho vile, kwakua nishammega sina chakupoteza.Yani ni bora ningemuajiri nijue moja kwamba natakiwa kumpa mshahara kila mwezi mana sio kwa mizinga hii.
Ngoja niwaachie wengine wakumbane na hii kadhia mana ni shida kwakweli.Mana huyu msichana nadhani anapaswa kuolewa na Bank ama Mpesa.
Ngoja niwaachie wengine wakumbane na hii kadhia mana ni shida kwakweli.Mana huyu msichana nadhani anapaswa kuolewa na Bank ama Mpesa.
