Njaa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2009
- 1,013
- 391
Dear members
Nimepata mwamko wa hili suala la katiba mpya ya Tanzania...., ili kujiweka sawa natamani kusoma ile ya zamani kwanza ili niweze kupata idea ya mapungufu yake. Please mwenye digital copy (nakala ya digitali) initumie kwa kuni-PM. Hivi zipo pia za kiswahili? kama zipo zote please msaada
Regards
Njaa
Nimepata mwamko wa hili suala la katiba mpya ya Tanzania...., ili kujiweka sawa natamani kusoma ile ya zamani kwanza ili niweze kupata idea ya mapungufu yake. Please mwenye digital copy (nakala ya digitali) initumie kwa kuni-PM. Hivi zipo pia za kiswahili? kama zipo zote please msaada
Regards
Njaa