Nakala ya karatasi na mwandiko wa Lwakatare wakati anatoa maelekezo hii hapa

Hahahahahahahahahaha
yani karatasi lenyewe lililotumika linaonekana kabisa ni jipya ukilinganisha na clip inavyosemekana kuchukuliwa!
Daaa wamechemsha sana hapa!

Hili karatasi utafikiri hii statement imetoka kuandikwa muda si mrefu hahahahah
 
Kama Mwigulu na Nape walikuwa na huo mkanda kwa zaidi ya miezi miwili, wakashindwa kuuwakilisha Police, nao pia ni watuhumiwa.
 
LUDOVICK ni kijana mtaalamu wa IT, ndiye moderator wa blog ya Maggid Mjengwa. Tayari kuna uzi unaomzungumzia huyu mtu. Tayari wanaanza kuumbuka mmoja baada ya mwingine. Maggid anaweza sahidia hili.
 

Kijana wenu Ludovic tumeishamjua tayari, ndiye aliyetengeneza ile clip.
 
Wewe ni mtupu sana upstairs
* hivi uoni hilo karatasi lilivyo jipya kabisa? Hivi umeprint baada ya kuandika au umepiga copy baada ya kuandika?

* kwa nini tusiseme mmeforg muandiko?
*hivi unajua huu ni ushahidi dhaifu sana ndio maana hujaupeleka polisi?
*hivi unajua kwanini polisi walikuwa wanapekua kwa lwakatare?
*hivi unajua kama hata wakikuta barua kama hii kwa lwakatare haito aminika? Maana wewe umesha haribu ushahidi watakuwa wana kazi kuthibitisha kama sio planted!

You have done nothing my dear!

huu ndio mwandiko halisi wa LWAKA. TUJADILI HILO KWANZA
 
This is what I can say about Magamba-"Cito maturum cito putridum" means-early ripe early rotten!
 
 
duh mpaka 2015 tutashuhudia vituko sijawahi kuamini kwamba nchi yetu itaharibika namna hii
 
Jamani ccm!hii si njia sahihi ya kutawala nchi!!!kama mmefikia kuua raia wenu kwa kuwa tu wengi wao hawajui lolote kuhusu teknolojia haitakuwa hekima,munatuua kirahisi namna hii kwa kuwa tu muna kompyuta ya kututengenezea picha feki ya kutudanganyia?tuwaamini muendelee kutuua?roho inatuuma kweli,hamuna tofauti yoyote na ma drug dealers wa mexico,munatumia UHAI wetu kujipatia power?kama chadema ni ya kufa basi muiache ife kwa muda wake,yaani mnatutoa kafara kwa kosa la chadema kuwasema tu?ccm ni binaadamu wanaopumua,mutaishi na mutakufa pia,munazaa na kuzaliana!chadema vilevile,munatengeneza mauti ya watoto na wajukuu zetu kwa mikono yenu wenyewe,muna pesa,muna kila kitu cha fahari ambacho kwa sisi ni ndoto ya mchana kuweza kuwa navyo,kwa nini hamridhiki?damu yetu watanzania masikini ina utamu gani midomoni mwenu?ccm imeamua kutumia roho zetu kama jukwaa la siasa????ee Mungu uko wapi?kwa nini umeuweka uso wako mbali na wanyonge sisi?maisha yetu ya kila siku ni hukumu tosha,bado umewapa nguvu maadui zetu ccm kutu
 

Kweli nchi hii imepasuka kidini!... Kwakuwa Lwakatare ni mkristo BASI HUGO na waislamu wenzako mmelivalia njuga suala la kumzushia Lwakatare kesi zisizo na kichwa wala miguu!... Inaumiza saaana wakristo kuona mtu aliyepanga njama za mauaji ya MAASKOFU, MAPADRI, WALEI NA WACHUNGAJI na kutimiza azma yake kwa miezi sita (6) hakamatwi lakini tuhuma za uzushi jeshi zima la polisi linavalia njuga na kumkamata kwa vitu vya mtandaoni!...

HIVI MANENO YOOOOTE ALIYOSEMA ILUNGA YANGEELEKEZWA KWA WAISLAMU, ... MKRISTO HUYO ANGEKUWA NJE MPAKA LEO?

KWAKUWA SAFU YOOTE YA VIONGOZI WA JUU WA SERIKALI NA JESHI LA POLISI BASI ILUNGA ANALINDWA!...
 
Bungeni walifoji sahihi ya mh.PINDA itakua Lwakatare?narudia tena mfa maji haishi kutapatapa..siku za huyu mdudu anaeitwa 'ccm'zinahesabika,.
 
Wakina Nape bana yani hawa vijana watatu wanadhani wanaweza kutuchanganya akili na huu utoto
 
Kwenye hili nakubaliana na wewe, kumchunguza mtu sio vibaya kwa kazi yake, lakini kaifanya kizembe sana! Kuna kila dalili kwamba lwakatare alimuamini kupita kiasi huyo Bukoba boy, asijue mwenzake keshachukua vipande vya fedha.

Mimi namfahamu vizuri lwakatare najua ni yeye kwenye issue nzima kuendelea kupinga ni kujiumiza kichwa, hatahivyo nadhani kuna vipande vimeungwa ungwa ili kutengeneza na kuiboresha move, kwa mfano pale pa moro na anapotaja igunga havihusiani na havikuwa muhimu kwenye habari inayozungumzwa, lakini nadhani ni somo pia kwamba hapa duniani jiamini wewe tu na roho yako!
 
Mojawapo ya sifa ya uongozi bora ni kutatua matatizo yanayoonekana kana kwamba hayana mlango wa kutokea.

Hata wao ccm wanajifunza mengi juu ya matukio wanayotuletea CHADEMA na namna tunavyoyatatua.
Kwa tatizo hili la Lwakatare na jinsi litakavyotatuliwa, itakuwa ni uthibitisho mwingine mbele ya jamii kwamba CHADEMA inao uwezo wa kushika uskani wa Taifa hili na kukabili matukio na kuyatatua.........

Hiki ni kipimo bora cha kuwaonyesha wananchi uwezo CHADEMA ilio nao wa kung'amua mambo ya sirini na kuyadhibiti na nchi ikawa salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…