ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
Ukweli siku zote una nguvu kuliko uongo ingawa uongo usambaa zaidi kuliko ukweli hata hivyo maelezo ya ukweli ni rahisi sana kuyaelewa kuliko maelezo ya uongo vilevile picha ya uongo ni vigumu sana kuielewa kuliko picha au mchoro wa kweli. kuthibitisha ukweli ni lahisi kuliko kuthivitisha uongo. wajinga siku zote hujipima kwa akili zao wenyewe na kudhani keamba wao ndo wenye akili zaidi kuliko wengine. wenye busara hujipima kwa akili za wengine . isue ipo mahakamani kuutetea uongo ni kazi ngumu kuliko kuutetea ukweli.