Mshukuru Mungu kama ameolewa alikuwa sio saizi yako.
Taguta pengine huenda ukapata japokuwa sikuhizi hakuna muoaji wala muolewaji! Wote ni bomb lakulipuka muda wowote.
Angalia kwanza huko mtaani/ Kitna na Hawa wakina mama wanavyoyataka makuu! Unaweza usitoboe.