jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Nilipowaona wanaharakati wakipambania Katiba mpya ili kama Nchi tuwe mifumo imara na sikutegemea mtu mmoja niliwananga!
Aliposimama Mbowe kutukumbusha kuhusu uhuru na wajibu nilimuona hayawani.
Nilipomuona Tundu Lissu akitokwa na povu akililia Nchi kuwa na mifumo imara nilimpuuza na hata alipopigwa risasi nyingi nilishangilia.
Watetea mifumo imara wote niliwabeza na hata walipodhulumiwa haki zao nilicheka.
Kwa dhati ya moyo wangu najutia hayo yote na naomba radhi kwa Mungu wangu na wote niliowafurahia kwa mabaya.
Punde, natarajia kuchukua mkondo na imani nyingine.
Amina.
Aliposimama Mbowe kutukumbusha kuhusu uhuru na wajibu nilimuona hayawani.
Nilipomuona Tundu Lissu akitokwa na povu akililia Nchi kuwa na mifumo imara nilimpuuza na hata alipopigwa risasi nyingi nilishangilia.
Watetea mifumo imara wote niliwabeza na hata walipodhulumiwa haki zao nilicheka.
Kwa dhati ya moyo wangu najutia hayo yote na naomba radhi kwa Mungu wangu na wote niliowafurahia kwa mabaya.
Punde, natarajia kuchukua mkondo na imani nyingine.
Amina.