Habari zenu wana JF,
Nakumbuka kuna kipindi niliwasifia sana wanawake wa Dar, na nikawasihi ambao bado hawajaoa waje kuoa wanawake wa Dar kwa kuwa ni wazuri sana. Ila sasa kilichonitokea mimi na hawa wanawake wangu nimejikuta wanawake wanne wana mimba zangu, yani wawili ni wanafunzi wa secondary, mwingine ni mwanafunzi wa TIA na mwingine ni mfanyakazi wa taasisi moja hivi.
Ila kinachoniumiza wote hao nimepima na kweli nikakuta wana mimba na nimewaambia watoe wanazinguwa kutoa mimba, na nikiwaza hawa wanafunzi ndiyo nahisi miaka 30 mara mbili maana wako wawili ambayo itakuwa 60 inaningojea.
Hapa natamni nikimbie tena Dar au nihame eneo hili au nijiue maana mie hawa wanawake siwataki, sina pa kuwapeleka na sijajipanga kuoa.
Ombi langu: wanawake wa Dar acheni tabia za kulengesha mimba kizembe na muwe mnakubali kutumia condom.
Naombeni msaada wa mawazo, je, niwakimbie niende hata Tabora au Kigoma au nikomae nao hapahapa jijini? Au nikatae mimba sio zangu kuwa wananisingizia hao wanafunzi?
Msaada wa mawazo tafadhali
Nakumbuka kuna kipindi niliwasifia sana wanawake wa Dar, na nikawasihi ambao bado hawajaoa waje kuoa wanawake wa Dar kwa kuwa ni wazuri sana. Ila sasa kilichonitokea mimi na hawa wanawake wangu nimejikuta wanawake wanne wana mimba zangu, yani wawili ni wanafunzi wa secondary, mwingine ni mwanafunzi wa TIA na mwingine ni mfanyakazi wa taasisi moja hivi.
Ila kinachoniumiza wote hao nimepima na kweli nikakuta wana mimba na nimewaambia watoe wanazinguwa kutoa mimba, na nikiwaza hawa wanafunzi ndiyo nahisi miaka 30 mara mbili maana wako wawili ambayo itakuwa 60 inaningojea.
Hapa natamni nikimbie tena Dar au nihame eneo hili au nijiue maana mie hawa wanawake siwataki, sina pa kuwapeleka na sijajipanga kuoa.
Ombi langu: wanawake wa Dar acheni tabia za kulengesha mimba kizembe na muwe mnakubali kutumia condom.
Naombeni msaada wa mawazo, je, niwakimbie niende hata Tabora au Kigoma au nikomae nao hapahapa jijini? Au nikatae mimba sio zangu kuwa wananisingizia hao wanafunzi?
Msaada wa mawazo tafadhali